M MAKULUGA JF-Expert Member Joined Jan 21, 2011 Posts 7,828 Reaction score 10,527 May 12, 2024 #1 Nilikuwa sina taarifa uwepo wa Jukwaa hili Rwanda ! Nimeliona hivi punde!. Watu mnasiri sana😍! Ila changamoto naiona Wavhngijai wa Lugha ya Kinyatwanda ni Wachacje sana! Japo ndiyo hivyo thread zao zimejaa! Bila shaka ntapata Penpal humu!
Nilikuwa sina taarifa uwepo wa Jukwaa hili Rwanda ! Nimeliona hivi punde!. Watu mnasiri sana😍! Ila changamoto naiona Wavhngijai wa Lugha ya Kinyatwanda ni Wachacje sana! Japo ndiyo hivyo thread zao zimejaa! Bila shaka ntapata Penpal humu!
Hope urassa JF-Expert Member Joined Aug 22, 2017 Posts 4,230 Reaction score 10,650 May 27, 2024 #2 💥💥💥
Marie Antoinette JF-Expert Member Joined Jan 28, 2019 Posts 426 Reaction score 412 May 29, 2024 #4 Bazaza
M MzalendoHalisi JF-Expert Member Joined Jun 24, 2007 Posts 4,679 Reaction score 1,612 Jun 6, 2024 #5 Ongeeni Kiswahili au kiingereza mtapata wachangiaji
James Comey JF-Expert Member Joined May 14, 2017 Posts 8,759 Reaction score 14,831 Jun 8, 2024 #6 Ni wakati Sasa kuww na usawa humu. Ingependeza forums zote bila kujali jamii wala kanda, iwe ni lazima kutumia lugha ya kingereza au kiswahili.
Ni wakati Sasa kuww na usawa humu. Ingependeza forums zote bila kujali jamii wala kanda, iwe ni lazima kutumia lugha ya kingereza au kiswahili.
Palyang'ei JF-Expert Member Joined Jan 26, 2013 Posts 294 Reaction score 194 Jun 9, 2024 #7 Na mimi naunga mkono watumie kiingereza au kiswahili, vinginevyo fursa nyingi watazikosa.
gammaparticles JF-Expert Member Joined Jan 9, 2024 Posts 1,407 Reaction score 3,855 Jun 9, 2024 #8 Ibicucu
N Ninaweza JF-Expert Member Joined Dec 14, 2010 Posts 13,095 Reaction score 8,284 Jun 12, 2024 #9 munyambo p said: Tupo sana Click to expand... Changieni sasa.