Watu watafurahia ukianguka kiuchumi

Bahati mbaya waafrika ni jamii chache sana zenye hurka za kusaidia wenzao.

Yaani ni ukweli ulio wazi sisi ni full nongwa uanguke na watu wanashangilia, japo hutawaona na hii haijalishi sijui kanisani hama msikitini.

Ni mmoja katika watu 75 ndiye atauzunika na kukufariji.
 
Yeap[emoji123]
Hili jambo nasemaga kila mara ni vyema kuishi maisha ya kutoeleweka kwamba ukipata pesa watu wajue ukiishiwa watu wanajua kwakua kuna namna umejiweka ukizipata unakua namna gani na zikiisha unakua namna gani usisomeke yani ziwepo zisiwepo wasijue,
Sio mwingine akizipata analewa mchana mpaka usiku ye ni kunywa tu ata job aendi zikiisha alewi anaanza kwenda na job washajua zimeisha[emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…