Watu watano wauawa na wanamgambo Mashariki mwa DRC

Watu watano wauawa na wanamgambo Mashariki mwa DRC

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Watu watano wameuawa, wakiwemo watoto wanne ambao walichomwa moto hadi kufa, na watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo, ambao pia waliteka nyara watu wengine kadhaa katika shambulio mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo

Shambulio hilo la Waasi wa Alliance Democratic Forces (ADF) limetokea siku mbili baada ya kufanyika shambulio kama hilo katika mkoa jirani na kusababisha vifo vya watu 13.

“Majira ya saa tatu usiku, walishambulia Kijiji cha Busiyo katika Mkoa wa Ituri, na kuchoma nyumba kadhaa,” anasema Jacques Anayeyi, kiongozi wa baraza la vijana.

Amesema watu watano waliuawa, wakiwemo watoto wanne kutoka familia moja ambao walichomwa hadi kufa ndani ya nyumba yao.

Ameongeza kuwa wanavijiji watano walijeruhiwa na wengine kutekwa nyara.

Shambulio hilo limetokea wakati viongozi walikuwa wanatarajia kuwarejesha makwao wakazi baada ya kuzuka kwa machafuko katika eneo hilo.

Waasi hao walishambulia kijiji jirani siku ya Alhamisi, na kuua watu wawili na kuteka nyara 40 wengine, Anayeyi amesema.

Source: Barrons



=======================

Rebels Kill Five, Including Children, In Latest DR Congo Attack

Suspected militants killed five people, including four children who were burned to death, and took dozens of hostages in an attack in eastern Democratic Republic of Congo, local sources said Sunday.

The attack by rebels from the Allied Democratic Forces (ADF) on Saturday night comes just two days after a similar assault in a neighbouring province that left 13 dead.

"Around 9:00 pm, they attacked the village of Busiyo" in Ituri province, and burnt several homes, Jacques Anayeyi, head of the youth council, told AFP Sunday.

Five people were killed, including four children from the same family who burned to death in their homes, he said.

Five villagers were wounded, and dozens of others kidnapped, Anayeyi added.

The attack comes as authorities were hoping to repatriate residents after a spate of unrest in the region.

"We were preparing residents to return to their homes, but with yet another attack by ADF terrorists, the return will be difficult", said Faustin Babanilao Mboma, president of the Banyali Tchabi administrative region, confirming the deaths.

The rebels had attacked another nearby village Thursday, killing two people and kidnapping about 40 others, Anayeyi said.

In neighbouring North Kivu province, 13 people including three children were killed and a health centre set on fire by ADF rebels also on Thursday, local offcials said.

The attackers then retreated to Virunga National Park, which has become a haven for armed groups that have been active in the region for nearly 30 years.

Claimed by the Islamic State group as its Central African offshoot, the ADF has been accused of massacring Congolese civilians and carrying out terrorist attacks in neighbouring Uganda.
 
DRC Mauaji yanafanyika kila siku mkuu. Kam umeamua kudeal na mauaji ya DRC weka thread ambayo utakuwa unaupdate kila siku. Unless mauaji haya unayotuarifu hapa yanaumuaalum wake.
Asante kwa taarifa.
 
Mbona hujasema kwenye andiko lako kwamba hilo genge lina mahusiano na kikundi cha kigaidi cha Isis wakati hilo limeandikwa hapo kwa kiingereza kwenye aya ya mwisho, unaficha nini.

Sasa hivi karibu vurugu zote za kivita zinazotokea Afrika zinasababishwa na waislamu wanaotaka kueneza dini yao kwa nguvu. Huo ndio ukweli.
 
Back
Top Bottom