Hii Habari kama ya zamani hivi..
hawa vijana vp tena mbona wote wana sauti nzuri walizojifunza madrasa iweje wanataka angamizana tena !
kama hilo saburi penye avatar hapoduh,tuhuma nzito hizi
ahaaa sasa nimeelewa huu uzi umefufuliwa baada ya comment ya T.I.D ya majuzi iliyoponda mwimbo mpya wa KIBA nia ni kutafuta tu sababu.
Mimi ndiye nimeifukua, kuna tatizo kwani? TID alipaswa kutuachia mashabiki tuujudge wimbo...alichofanya ni kuendeleza chuki tu!!
acha ujnga wew k2 kshakufa icho ckunyng tafuta mpya uleteMimi ndiye nimeifukua, kuna tatizo kwani? TID alipaswa kutuachia mashabiki tuujudge wimbo...alichofanya ni kuendeleza chuki tu!!
Kimsingi TID he's schizophrenic wala sishangai!..!