johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Africa Mashariki ni lazima tuungane sasa kuisaidia Kenya kwani Wananchi na Viongozi Wote wamechanganyikiwa
CCM tuna jukumu la kuisaidia Kenya kwa sababu Sisi ndio Chama kikubwa zaidi barani Africa
Kesheni Mkiomba maana hamjui Siku wala saa 🐼
CCM tuna jukumu la kuisaidia Kenya kwa sababu Sisi ndio Chama kikubwa zaidi barani Africa
Kesheni Mkiomba maana hamjui Siku wala saa 🐼