kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Duniani tunapita hakuna kitakachobakia siku zote watu wema hawana maisha ukiamua kujitolea ujue maisha yako ni mafupi.
Wengi wanaachia mbuzi kula kwa urefu wa kamba kwa kuogopa kufupisha maisha watu waovu huishi maisha marefu ili wapate kuja kuhadithia yale mema ya watu wema waliyoyatenda watu waovu wezi majizi hupenda kujifanya ni wema mbele za wema eti hata kama hawampendi ndio wao huyo ni mtu muovu mwerevu muuaji mtia sumu glass za wengine.
Je, mikataba ikifungiwa kwenye ardhi ya nyumbani kuna ubaya gani dollar imeadimika lakini kila uchao group la watu linalipiwa dollar kwenda kula bata ughaibuni ili hali wawekezaji wangekuja site.
Mama bado kunguni unao kitandani na kwenye mapindo choma vyote uanze upya wanakuhujumu VOA hawakufanya bahati mbaya kuna mkono wa mtu, badala ya kufanya kazi wanadili na Makonda.
Watu wema watakumbuka mema na watu wabaya watakumbuka mabaya bahari haijauzwa!
Tumuombee huko aliko!
Wengi wanaachia mbuzi kula kwa urefu wa kamba kwa kuogopa kufupisha maisha watu waovu huishi maisha marefu ili wapate kuja kuhadithia yale mema ya watu wema waliyoyatenda watu waovu wezi majizi hupenda kujifanya ni wema mbele za wema eti hata kama hawampendi ndio wao huyo ni mtu muovu mwerevu muuaji mtia sumu glass za wengine.
Je, mikataba ikifungiwa kwenye ardhi ya nyumbani kuna ubaya gani dollar imeadimika lakini kila uchao group la watu linalipiwa dollar kwenda kula bata ughaibuni ili hali wawekezaji wangekuja site.
Mama bado kunguni unao kitandani na kwenye mapindo choma vyote uanze upya wanakuhujumu VOA hawakufanya bahati mbaya kuna mkono wa mtu, badala ya kufanya kazi wanadili na Makonda.
Watu wema watakumbuka mema na watu wabaya watakumbuka mabaya bahari haijauzwa!
Tumuombee huko aliko!