Watu wengi sana wamepumzisha Mabanda yao ya kuku na Mashine za Kuangulia

Watu wengi sana wamepumzisha Mabanda yao ya kuku na Mashine za Kuangulia

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,872
Reaction score
9,263
Ukijaribu kutembea watu wengi utakuta wana mabanda ambayo yanaonekana yalisha wahi kutumiwa kwa ajili ya kulaza kuku.

Wengi unakuta wamebadili matumizi au wameyaacha yako tu yamekaa na hadinsasa unakuta Drinker na feeder zipo zina ning'inia juu.

KWA NINI WAMEPUMZISHA?
Hii ni kwa sababu ya zile hamasa za kwamba kuku wanalipa, kuku ni utajiri, watu wengi sana wakaingia kufuga kuku either kwa sababu waliona Jamaa zao au rafiki zao au majiraniao wanafuga.

Sasa na wao wakaingia kutaka kufuga kuku.

UKWELI WA UFUGAJI KUKU
Kuku ni moja ya kazi ambayo ni Capital internsive na labour intensive pia.

Kuku ni project kama una pesa za kuwekeza hapo, kuku sio project kama una pesa za kuunga uunga au una pesa unawazia.

Kuku wanahitaji pesa ili kuwafuga kwa sababu ni Capital intensive hasa lipo kuja swala la Chakula.

Chakula chao kinachukua asilimia 70 ya gharama zote za kutunza kuku that is why.

Kuku poa wanajitaji Care ya karibu sana make mistake kidogo tu inakuwaga ni msiba mkuu kabisa.

Kuku sio project ya kukimbilia kama huna passion, kama huna Commitment.

KWA NINI WATU WAMEPUMZISHA MABANDA?
1. Walifuga kuku wakafa wote,
2. Walikosa pesa za kununua chakula wakaaamua waache kufuga.

3.Waliona gharama za ufugaji na wanacho kipata havilingani kabisa.

4.Soko walilokutana nalo nitofauti na uhalisia.

Na zingine nyingi sana,

WANAO ENDELEA KUFUGA
Hawa ni wale ambao wao hawajavutwa na mtu kufuga bali ni plan zao na ni Passion yao kufuga kuku, hawa wapo kwenye Industry na wanafuga na ku make money.

MWISHO
Ufugaji wa kuku sio Project ya kukimbilia kama huna target na kama huna pesa.

Kuku ili wakupe pesa lazima uwekeze vilivyo hasa kwenye vyakula.

Kuku wanahitaji sana pesa ili kukupa pesa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unachokisema ni sahihi bro.

Mimi nilijiingiza katika mradi huu, nikachukua Vifaranga 1,250 wa Sasso kwa ajili ya nyama, na kweli nilijitahidi sana kuwatunza lakini walipofikia miezi 5 walipata ugonjwa Wa typhoid na Cox, walikufa kama 250 kwa muda mfupi lakini niliudhibiti ugonjwa na kuongeza usafi Wa mabanda, hata hivyo changamoto ikawa soko, wanunuzi Wa Kuku wengi wabataka kununua kwa mkopo, lakini ulipaji wako ni changamoto pia, kwa ukweli zaidi ya Kuku 550 niliwauza kwa mkopo na bado nadai yangu Dec 2018 hadi Leo, zaidi ya tsh 5million zimelala nje, halo hiyo ilinifanya niache hiyo kazi, na mabanda naimefugia ngombe, kweli mradi Wa Kuku si Wa kukimbilia,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unachokisema ni sahihi bro.

Mimi nilijiingiza katika mradi huu, nikachukua Vifaranga 1,250 wa Sasso kwa ajili ya nyama, na kweli nilijitahidi sana kuwatunza lakini walipofikia miezi 5 walipata ugonjwa Wa typhoid na Cox, walikufa kama 250 kwa muda mfupi lakini niliudhibiti ugonjwa na kuongeza usafi wa mabanda, hata hivyo changamoto ikawa soko, wanunuzi Wa Kuku wengi wabataka kununua kwa mkopo, lakini ulipaji wako ni changamoto pia, kwa ukweli zaidi ya Kuku 550 niliwauza kwa mkopo na bado nadai yangu Dec 2018 hadi Leo, zaidi ya tsh 5million zimelala nje, halo hiyo ilinifanya niache hiyo kazi, na mabanda naimefugia ngombe, kweli mradi wa kuku si wa kukimbilia.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwanini ulianza na kuku wengi sana? Wakati bado ulikuwa mgeni kwenye industry?

Ulichukua mda gan kufanya research?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nilifanya utafiti japo sio wa kisomi, kumbuka Mimi sikufeli sana katika utunzaji, nilikuwa na eneo kubwa na Capital, nilianguka sana katika soko, na wauzaji hawakuwa waaminifu, unajua ilifika wakati kuendelea kukaa na kuku ilikuwa hasara, hivyo ilinilazimu niwauze, hata hivyo sikuanguka sana, bado deni langu limefika pazuri baada ya kufuata utaratibu za kisheria, ila kiukweli cwezi kurudia mradi wa kuku, kwa sasa nimeanza na Ngombe 2 na Nguruwe 20.

Kwa kweli Nguruwe hawanipi shuruba niliyoipata katika Kuku, na karibu nawauza Haws Nguruwe, Madume yapo 16 na majike wanne, madume wawili sikuwahasi na kumi na NNE niliwahasi kwa ajili ya nyama, HawA majike wanne wana mimba, kwa kweli Nguruwe hawakunisumbua sana, ngombe wana mimba naamini nitaanza kunywa na kuuza maziwa simu za usoni, Natarajia mwisho Wa mwaka huu niwe na Nguruwe so chini ya hamsini na ngombe Wa Maziwa wanne, ila Kuku nafuga wachache Wa kienyeji kwa ajili ya matumizi ya nyumbani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilifanya utafiti japo sio wa kisomi, kumbuka Mimi sikufeli sana katika utunzaji, nilikuwa na eneo kubwa na Capital, nilianguka sana katika soko, na wauzaji hawakuwa waaminifu, unajua ilifika wakati kuendelea kukaa na Kuku ilikuwa hasara, hivyo ilinilazimu niwauze, hata hivyo sikuanguka sana, bado deni langu limefika pazuri baada ya kufuata utaratibu za kisheria, ila kiukweli cwezi kurudia mradi Wa Kuku, kwa sasa nimeanza na Ngombe 2 na Nguruwe 20, kwa kweli Nguruwe hawanipi shuruba niliyoipata katika Kuku, na karibu nawauza HawA Nguruwe, Madume yapo 16 na majike wanne, madume wawili sikuwahasi na kumi na NNE niliwahasi kwa ajili ya nyama, HawA majike wanne wana mimba.

Kwa kweli Nguruwe hawakunisumbua sana, ngombe wana mimba naamini nitaanza kunywa na kuuza maziwa simu za usoni, Natarajia mwisho Wa mwaka huu niwe na Nguruwe so chini ya hamsini na ngombe Wa Maziwa wanne, ila Kuku nafuga wachache Wa kienyeji kwa ajili ya matumizi ya nyumbani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ukianza kukamua nitumie nusu Lita na mimi ninywe.
 
Nakubaliana na wewe ufugaji wa kuku unakutana na changamoto nyingi sana ,1. Aina ya vifaranga, 2. Magojwa ya kuku. 3. Soko lao. So unachokisema 100% uko sahihi yasikie tu kuku sio project ya kurukia kama haujajipanga. all in all ukifuga kuku kwa faida hakikisha unawauza ndani ya week 4 or 4.5 otherwise ni hasara.
 
Changamoto zipo kwenye kila kitu tunachojaribu kukifanya ila lazima tuumize vichwa kwenye kutafuta mbadala kwenye hizi shida. Mimi nilifuga nilianza 2017 changamoto nilizokutana nazo magonjwa kuna ugonjwa unaitwa sijui gombora ulinisafishia banda kutoka 160 mpaka 30 ndan ya siku tatu nashangaa tu nilikuja tatua na kujifunza sikuwapa chanjo tokea awali. Changamoto nyingine ilikuwa chakula kwangu ilikuwa changamoto sana ila nilipata mbadala baadae.

Shida kubwa inayosumbua watu ni soko mimi shida ya soko nilikuja kutatua pale nilipoanza urafiki na wapishi wa masherehe kiukweli niliuza sana 2019 niliachana na hio biashara sababu eneo nililokuwa natumia nilianzisha project nyingine.....tufocus kwenye kutatua shida zinazotusumbua hapoaisha yatakua na auheni.

Nisameheni kwa mwandiko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unachokisema ni sahihi bro,Mimi nilijiingiza katika mradi huu, nikachukua Vifaranga 1,250 wa Sasso kwa ajili ya nyama, na kweli nilijitahidi sana kuwatunza lakini walipofikia miezi 5 walipata ugonjwa Wa typhoid na Cox, walikufa kama 250 kwa muda mfupi lakini niliudhibiti ugonjwa na kuongeza usafi Wa mabanda, hata hivyo changamoto ikawa soko, wanunuzi Wa Kuku wengi wabataka kununua kwa mkopo, lakini ulipaji wako ni changamoto pia, kwa ukweli zaidi ya Kuku 550 niliwauza kwa mkopo na bado nadai yangu Dec 2018 hadi Leo, zaidi ya tsh 5million zimelala nje, halo hiyo ilinifanya niache hiyo kazi, na mabanda naimefugia ngombe, kweli mradi Wa Kuku si Wa kukimbilia

Sent using Jamii Forums mobile app
Mradi wa ng'ombe unaendeleaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
C
Changamoto zipo kwenye kila kitu tunachojaribu kukifanya ila lazima tuumize vichwa kwenye kutafuta mbadala kwenye hizi shida. Mimi nilifuga nilianza 2017 changamoto nilizokutana nazo magonjwa kuna ugonjwa unaitwa sijui gombora ulinisafishia banda kutoka 160 mpaka 30 ndan ya siku tatu nashangaa tu nilikuja tatua na kujifunza sikuwapa chanjo tokea awali. Changamoto nyingine ilikuwa chakula kwangu ilikuwa changamoto sana ila nilipata mbadala baadae.

Shida kubwa inayosumbua watu ni soko mimi shida ya soko nilikuja kutatua pale nilipoanza urafiki na wapishi wa masherehe kiukweli niliuza sana 2019 niliachana na hio biashara sababu eneo nililokuwa natumia nilianzisha project nyingine.....tufocus kwenye kutatua shida zinazotusumbua hapoaisha yatakua na auheni.

Nisameheni kwa mwandiko
Ni kweli ziko kila nyanja but zinatofautiana, Kuku ni kwamba ni Capital Intensive muda wote na wakati wote,

Ukilima my be matikitiki maji au nyanya sio muda wote unahitajika kuwa na pesa kuhudumia sana wakati wa Dawa na mbolea.

Kuku kila siku lazima uwe na pesa, na the more wanavyo kaa ndo the more wanavo ongeza hasara.

Pia kuku sio regularly consumed ukilinganisha na vitu kama Maziwa au mboga au vyakula vingine.

Faida ya kuku ni ukiweza kupunguza gharama hasa Chakula make chakula ni 70% ya gharama zote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukijaribu kutembea watu wengi utakuta wana mabanda ambayo yanaonekana yalisha wahi kutumiwa kwa ajili ya kulaza kuku.

Wengi unakuta wamebadili matumizi au wameyaacha yako tu yamekaa na hadinsasa unakuta Drinker na feeder zipo zina ning'inia juu.

KWA NINI WAMEPUMZISHA?
Hii ni kwa sababu ya zile hamasa za kwamba kuku wanalipa, kuku ni utajiri, watu wengi sana wakaingia kufuga kuku either kwa sababu waliona Jamaa zao au rafiki zao au majiraniao wanafuga.

Sasa na wao wakaingia kutaka kufuga kuku.

UKWELI WA UFUGAJI KUKU
Kuku ni moja ya kazi ambayo ni Capital internsive na labour intensive pia.

Kuku ni project kama una pesa za kuwekeza hapo, kuku sio project kama una pesa za kuunga uunga au una pesa unawazia.

Kuku wanahitaji pesa ili kuwafuga kwa sababu ni Capital intensive hasa lipo kuja swala la Chakula.

Chakula chao kinachukua asilimia 70 ya gharama zote za kutunza kuku that is why.

Kuku poa wanajitaji Care ya karibu sana make mistake kidogo tu inakuwaga ni msiba mkuu kabisa.

Kuku sio project ya kukimbilia kama huna passion, kama huna Commitment.

KWA NINI WATU WAMEPUMZISHA MABANDA?
1. Walifuga kuku wakafa wote,
2. Walikosa pesa za kununua chakula wakaaamua waache kufuga.

3.Waliona gharama za ufugaji na wanacho kipata havilingani kabisa.

4.Soko walilokutana nalo nitofauti na uhalisia.

Na zingine nyingi sana,

WANAO ENDELEA KUFUGA
Hawa ni wale ambao wao hawajavutwa na mtu kufuga bali ni plan zao na ni Passion yao kufuga kuku, hawa wapo kwenye Industry na wanafuga na ku make money.

MWISHO
Ufugaji wa kuku sio Project ya kukimbilia kama huna target na kama huna pesa.

Kuku ili wakupe pesa lazima uwekeze vilivyo hasa kwenye vyakula.

Kuku wanahitaji sana pesa ili kukupa pesa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe Jamaa mbona Kama unanisema Mimi, maana Mimi ninamabanda niliyowahi kupumzishia Nguruwe, achilia mbali kuku. Ila sijakata tamaa, najikusanya Tena, nirudi Ulingoni.

Naamini Safari hii round haitatoboka. Maana nilijifunza Elimu Pana Sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mradi Wa Ngombe naendelea Nao vzuri tu, naona wanaimprove kwa kuwa nawafugia ndani"zero grazing farming" sio kama walivyokuwa wanafugwa awali, ngombe mmoja ana mimba na mwingine ni Mdogo kidogo, unajua Subira huvuta kheri,mradi huu Matunda take nafkiri ntaanza kuyaona Disemba 2020, navuta subra, ila ni mradi nzuri hakuna shuruba kama za kuku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom