Watu wengi tunazungumzia sana sera ambazo ubepari kuwa zilikuwa mbaya ila sera za ujamaa zinatisha sana

Watu wengi tunazungumzia sana sera ambazo ubepari kuwa zilikuwa mbaya ila sera za ujamaa zinatisha sana

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Sera za ubepari zinazungumziwa sana sababu ya wivu wa watu wanaochukia sera hizo kutoka marekani.ila sera za ujamaa zinatisha sana zilipotokea urusi.

nchi nyingi zilizopitia sera za ujamaa zijawai kuwa sawa na hata kama zipo kwenye ubepari basi ni ule wakujaribu sababu ujamaa unaendelea kwenye watawala.

Angalia kwa kiduku mfano tu
 
Sera za ubepari zinazungumziwa sana sababu ya wivu wa watu wanaochukia sera hizo kutoka marekani.ila sera za ujamaa zinatisha sana zilipotokea urusi.

nchi nyingi zilizopitia sera za ujamaa zijawai kuwa sawa na hata kama zipo kwenye ubepari basi ni ule wakujaribu sababu ujamaa unaendelea kwenye watawala.

Angalia kwa kiduku mfano tu
 
Ujamaa ni mzuri kama utatekelezwa ipasavyo.
 
Ujamaa ni mzuri kama utatekelezwa ipasavyo.
Ujamaa hautekelezeki,
Nchi zote zilizojaribu ujamaa matokeo ni yale yale, udictator, huduma mbovu za jamii,
Mauaji ya raia
 
Back
Top Bottom