Watu wengi waliotumia sabuni hii wana kesi ya kujibu siku ya kiama

Watu wengi waliotumia sabuni hii wana kesi ya kujibu siku ya kiama

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,318
Reaction score
8,464
Asilimia 97 ya walio tumia sabuni hii wana kesi ya kujibu siku ya hukumu, nawakumbusha kutubu ile dhambi waliyo itenda.

Kama hujaelewa basi.
images%20(17).jpg
 
Tuliosomea Cuba tumekusoma vyedi yani
 
Halafu zinatengenezwa na Mohamed dewji MO. Sema Bora hizi kuliko zile za kigoma zanakatwa vipande halafu zinawasha kinoma
 
""Anatujua Ingali bado hatujazaliwa""Sioni haja ya kumsumbua Mungu Baba na matoba!!!
 
Back
Top Bottom