Watu wengi wanadhani sababu ya Gamondi kufurushwa Yanga ni kupoteza michezo miwili dhidi ya Tabora na Azam

Watu wengi wanadhani sababu ya Gamondi kufurushwa Yanga ni kupoteza michezo miwili dhidi ya Tabora na Azam

Revola

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2015
Posts
1,516
Reaction score
1,338
Naona watu wengi Instagram, X na JF wanamlaumu injinia na kumuona mpumbavu kwa kumfukuza kocha Gamondi. Kwanza Rais ana jopo la uongozi ambalo anashirikiana nalo kufanya maamuzi ya timu.

Kuna watu wanafikia kusema "nilikuwa namuona injinia smart ila kumbe mpumbavu" bila kujua kiini cha tatizo hakijaanzia kwenye mechi za juzi, bali issue imeanza muda mrefu sana kutokana na yeye kushindwa kuelewana na technical stuff.

Gamondi hashauriki na misimamo yake imepelekea kuleta mgawanyiko kwa wachezaji kitu ambacho mechi za juzi zimekuwa kama nyingeza tuu katika kutimuliwa kwake. Ni ujinga na upumbavu kuwaza kuwa mechi za juzi ndio zimemuondoa, viongozi wa Young Africa sio wapumbavu ambao unadhani maamuzi yao yamesababishwa na mechi mbili za juu la hasha.

Ni muunganiko wa ndani kabisa uliosababisha hata wachezaji kuwa na mpasuko katika timu.
 
Mnaendekeza umbea na majungu
Hao ndy mnawaowasikia

Ova
 
Kwanini hakufukuzwa kabla ya kupoteza michezo na afukuzwe baada ya kupoteza game 2
 
  • Kicheko
Reactions: K11
Naona watu wengi Instagram, X na JF wanamlaumu injinia na kumuona mpumbavu kwa kumfukuza kocha Gamondi. Kwanza Rais ana jopo la uongozi ambalo anashirikiana nalo kufanya maamuzi ya timu.

Kuna watu wanafikia kusema "nilikuwa namuona injinia smart ila kumbe mpumbavu" bila kujua kiini cha tatizo hakijaanzia kwenye mechi za juzi, bali issue imeanza muda mrefu sana kutokana na yeye kushindwa kuelewana na technical stuff.

Gamondi hashauriki na misimamo yake imepelekea kuleta mgawanyiko kwa wachezaji kitu ambacho mechi za juzi zimekuwa kama nyingeza tuu katika kutimuliwa kwake. Ni ujinga na upumbavu kuwaza kuwa mechi za juzi ndio zimemuondoa, viongozi wa Young Africa sio wapumbavu ambao unadhani maamuzi yao yamesababishwa na mechi mbili za juu la hasha.

Ni muunganiko wa ndani kabisa uliosababisha hata wachezaji kuwa na mpasuko katika timu.
Kwa sasa mngetulia. Wote tunaufahamu sababu kubwa ni matokeo mabaya hasa dhidi ya Tabora! Swali: Kabla ya mechi na Tabora hizo sababu hazikutosha kumfuta kibarua? Au hizo sababu zimekuja baada ya kulambishwa asali
 
Back
Top Bottom