Watu wengi wanaoendesha gari aina ya Alteza ama Subaru wana tabia hizi

Watu wengi wanaoendesha gari aina ya Alteza ama Subaru wana tabia hizi

The Assassin

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2018
Posts
4,942
Reaction score
20,077
Watu wengi wanaoendesha magari aina ya Alteza ama Subatu wana matatizo, ni watu wanaopenda kusikika ama kujulikana kama wapo, watu wanaopemda kutambulika uwepo wao, kwa kitaalamu tunaita Histrionic personality disorder (HPD) ama attention seeking disorder.

Mtu yeyote ambaye anapenda kutambulika uwepo wake, kama waandika herufi kubwa, kuweka funga na fungua semi kwenye kila neno, kuweka mkazo(bold), kuweka muziki mkubwa ama sauti kubwa kwenye gari( waendesha atleza wengi utakuta ameweka muziki/sauti kubwa, eksozi inayopiga kelele na mambo kama hayo.

Hii mada bado inaendelea.
 
mbona kidukulilo anajisikia na ma-ford ranger au vogue, hujamtaja!?.
 
we jamaa bana jana kuna jamaa nimemuona na alteza yake anamadevu kama osama mziki mkubwa alafu anajifanya yuko na haraka mara atanue mara ashike simu yan dah kama ulikuwepo yan wanajifanya watu wa madili madili
 
we jamaa bana jana kuna jamaa nimemuona na alteza yake anamadevu kama osama mziki mkubwa alafu anajifanya yuko na haraka mara atanue mara ashike simu yan dah kama ulikuwepo yan wanajifanya watu wa madili madili
Huwezi kukuta mtu ana akili timamu anaendesha Alteza ama subaru.
 
Back
Top Bottom