Watu wenye apps za kibiashara huingizaje pesa kwa watu kuangalia vidio kwa app zao?

Mia saba

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2022
Posts
255
Reaction score
390
Natumain u mzima na hujambo
Huwa najiuliza je watu wenye apps za kibiashara huingizaje pesa kwa watu kuangalia vidio kwa app zao, au kusoma taarifa?

Naombeni kufahamu zaid
 
Natumain u mzima na hujambo
Huwa najiuliza je watu wenye apps za kibiashara huingizaje pesa kwa watu kuangalia vidio kwa app zao, au kusoma taarifa?

Naombeni kufahamu zaid
Kuna kulipisha membership fee kila mwezi kwa hao viewers ili waweze endelea pata access ya hizo videos.

Kuna ku monetize kwa matangazo ya Admob.

Kuna pia kulipwa na biashara nyingine (Sponsorships) kutangaza biashara zao wenye App yako. Mfano hio Banner ya Twiga Miles unayoiona JF kwa chini.

Izo zina apply kama wewe ndo mwenye App. Ila kama umemaanisha zile mambo za 'kulipwa kutazama videos' hio kitu haipo, utaishia kuharibu muda mwingi na mb za kutosha kukuta uli earn shillingi mia tano ya vocha.
 
Nilichomaanisha Kama
Apps za millard Ayo, Azam tv app
Hupataje fedha kwa kutumia app zao
 
Au mfano mwingine kupatana app
Huingizaje fedha kea app zao
 
Au mfano mwingine watu Kama wajamii forums.
Najua lilikua wazo Ila sasa mkuu ana make pesa.
Ndio hapo swali langu lipo huwa wanapataje hizo pesa
 
Au mfano mwingine watu Kama wajamii forums.
Najua lilikua wazo Ila sasa mkuu ana make pesa.
Ndio hapo swali langu lipo huwa wanapataje hizo pesa
nadhani itakuwa vyema ukampm kiongozi maxence akupe abc za jinsi anavyoingiza hela kupitia jf atakuelewesha vizuri ana longolongo boss yule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…