Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Serikali ina wajibu kumuangalia kila mwananchi wake sehemu mbalimbali. Ila watu wenye jinsia mbili ni kama serikali imewasahau na kuwatelekeza kabisa.
Mara ya kwanza sikuwa naelewa kuhusu ili swala mpaka nilipoweza kuona makala BBC swahili ikieleza changamoto wanazopitia tokea wadogo mpaka ukubwani.
Changamoto wanazopatika ni kushindwa kueleweka yeye yupo upande gani wa kiume au wakike sababu maumbile yote yapo.
Suala la kibailojia kwenye mwele kutokubalika kwenye makundi mawili jinsia hizo mwisho wasiku ujiona sio kama binadamu wakawaida.
Kuchekwa au kunyanyapaliwa pindi ajulikanapo. Kwenye swala kwili kuna wengine ambao sehemu zote mbili hufanya kazi na wengine moja hufanya au kutofanya.
Soma pia: Masaibu ya kuzaliwa na jinsia mbili
Je, serikali imeliangalia vipi ili suala? Inawezekana tunaona wengi na wengine wakishiriki mijadala kwenye mitandao ya kijamii wakashindwa kujieleza au kutotambulika.
Kuhusu nchi yetu kuwa na watu wenye imani potofu; unalichukulia vipi kama mtoto akizaliwa wa aina hii?
Tunaweza jadili
Mara ya kwanza sikuwa naelewa kuhusu ili swala mpaka nilipoweza kuona makala BBC swahili ikieleza changamoto wanazopitia tokea wadogo mpaka ukubwani.
Changamoto wanazopatika ni kushindwa kueleweka yeye yupo upande gani wa kiume au wakike sababu maumbile yote yapo.
Suala la kibailojia kwenye mwele kutokubalika kwenye makundi mawili jinsia hizo mwisho wasiku ujiona sio kama binadamu wakawaida.
Kuchekwa au kunyanyapaliwa pindi ajulikanapo. Kwenye swala kwili kuna wengine ambao sehemu zote mbili hufanya kazi na wengine moja hufanya au kutofanya.
Soma pia: Masaibu ya kuzaliwa na jinsia mbili
Je, serikali imeliangalia vipi ili suala? Inawezekana tunaona wengi na wengine wakishiriki mijadala kwenye mitandao ya kijamii wakashindwa kujieleza au kutotambulika.
Kuhusu nchi yetu kuwa na watu wenye imani potofu; unalichukulia vipi kama mtoto akizaliwa wa aina hii?
Tunaweza jadili