Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
DuuhNiliposikia kuhusu tabia za Baltasar Ebang Engonga, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kitaifa la Uchunguzi wa Fedha (ANIF) la Guinea ya Ikweta, alinikumbusha rafiki yangu wa chuo. Rafiki huyu alikuwa na tabia zinazofanana sana na huyu Engonga, hasa katika masuala ya wanawake.
Nakumbuka nilipokuwa mwaka wa kwanza chuo, tulikutana na huyu jamaa na tukawa marafiki wakubwa. Tabia zetu zilifanana kiasi, ila yeye alinizidi kwa kiwango kisichokuwa na mipaka. Katika semesta ya kwanza, tayari alikuwa ametoka kimapenzi na wasichana zaidi ya 14 wa chuoni. Kufikia semesta ya pili, alianza kuhamia hadi vyuo jirani, na kufikia jumla ya wasichana 25 aliofanikiwa kuwa nao kwa mwaka wa kwanza.
Mambo yalizidi zaidi alipofanikiwa kuwa kiongozi kwenye serikali ya wanafunzi kama waziri wa loans chuoni. Katika mwaka wa pili, semesta zote mbili, alitembea na wasichana 75 na wamama watatu. Alipofika mwaka wa tatu, hali ilizidi kuwa mbaya zaidi. Kilichonisikitisha ni jinsi alivyorekodi kila mahusiano kwenye daftari lake, kila alipotembea na msichana, jina lake lilikuwa kwenye orodha. Aliweza hata kuwatongoza na kutembea na lecturers wawili wa kike bila uwoga wowote, kuna siku alikuja mzazi wa mwanafunzi mwenzetu ili atoe taarifa za kuuguabkwa mwanae muda mrefu bahati akakutana na mwamba kwenye corridor za chuo mwamba alimwelekeza ofisi zilipo ila baada ya wiki akala na yule mzazi.
Soma: Guinea: Kigogo anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati
Kuanzia wakati huo, nilianza kumhofia rafiki yangu. Nilihakikisha hajui kuhusu mahusiano yangu yoyote, maana nilihisi hana mipaka. Nilipomuuliza kama alikuwa na "dawa" ya kumwezesha hali hii, alisema hapana, kwamba hilo lilikuwa "la kawaida" kwake.
Mimi kwa upande wangu, katika miaka yote mitatu ya chuo nilikuwa na mahusiano na wasichana 13 tu, na nilihisi kama hiyo tayari ilikuwa zaidi. Baada ya kumaliza chuo, niliamua kuachana na tabia hizi na kuoa.
Rafiki yangu yule alikuwa na akili nyingi, na alikuwa na uwezo mzuri kitaaluma na kijamii pia alikuwa smart sana kimavazi na muonekano wake vilikuwa safi, na alikuwa na mvuto mkubwa kwa watu wengi. Lakini mimi nilijua upande wake wa pili, ambao hata wanaompenda hawakuwa na ufahamu nao.
Kwa sasa jamaa yangu ana cheo kikubwa kazini, na kila tunapoongea namkumbusha kuwa kitu pekee kinachoweza kumuangusha ni tamaa za wanawake. Japo ananiambia amebadilika, bado nina wasiwasi. Kuna watu ambao tamaa zao zimepitiliza katika masuala ya ngono, kama huyu Engonga na rafiki yangu, ambao wanahitaji msaada wa wanasaikolojia ili waweze kudhibiti tabia zao. Maana, ukiwa na tamaa hizi, unaweza kuwa na msichana mmoja leo na dakika tano baadae ukamhitaji mwingine β bila hisia yoyote.
Alikuwa anafanyaje mbona mi siwezi.Umenikumbusha kuna mwamba kipindi tunasomachuo hapo jalalani alikuwa anajiita nyoka, mrefu, mweusi, mwembamba. Anasema yeye kila mwanamke atakayemtaka anamla na kweli alikuwa anawanyoosha. Usiku akirudi room yeye na rafiki yake wanajadili listi ya madem tu na mipango yao.
Uliwapataje mkuu?Mkuu Kuna muda Huwa zinakuja zenyewe tu yaani ukigusa tu inaitika!!
Mimi enzi zangu kijijn nilihakikisha Kila alipo binti lazima nitie sign labda awe ndg. Kwakweli Kuna miji nilipitia Hadi wa3 wa familia Moja na wengine wanajuana. Muda huo nilikuwa cameraman Tena camera yenyewe ni yashika(kondaki mikanda yake)
Kuna sehemu nilkuwa nikipita siku mbili mfurulizo vijana wananiambia jamaa binti wa Kwa fln niachie nataka kuoa nakuomba sana.
Baada ya muda niliamua kuacha kwa hiari yangu. Niliwahi pitisha mwaka mzima bilabila Tena nikiwa huko pwani na Dar badae wazaramo walinichahua Tena speend ilikuwa mbaya sana kuliko hata kijijini.
Hadi nilipo amua kumrudia Mungu wangu Hadi kuoa!
Tupe mbinu uliwezaje mkuuWe nawe utakuwa papai, huyo rafiki yako anachotofautiana na mimi ni kuwa yeye anarekodi kwenye daftari mi narekodi kwa kuhifadhi picha google photos.
Semester ya kwanza mwaka wa kwanza nilipita na 36, semester ya Pili ilikuwa 50+.
Mpaka namaliza bachelor ni kama Tu Balthazar ni 350-400 kwa hesabu ya picha nilizonazo googlephotos, achilia mbali ambao sina picha zao
HahahaWatu wa aina hii wengi wanabanwa wakiwa foolish age au wengne kwa kuwa hawana status wanahisi hawana hazi yakutoka na wanawake(overthinkers),lakini wakija kupata uhuru,status na pesa wanasema utawatambua kwa matendo wanatembea na gia namba tano (overdriving)
Bado unatafuta wa kukutwangia?Na huko chini Yuko kama b? If yes toa location otherwise hii chai
HahaJinsia ya ke kuitafakari ni ngumu sana. Kuna mbaba mtu mzima yuko slim hivi mke wake analumbana naye kila mara serikali za mitaa kesi za ufumanizi.
Ajabu huyo mjuba ukimuon kimwonekano ni f kabisa na hata hela hana yani apeche alolo.
Kumbe wamama wenyewe wanahadithiana kua mbaba anamzigo wa kwenda.
Kwa akili zao ke. Kila mmoja anataka ajaribu huo mzigo.
Basi anatongozwa na wadada na wamama.
Tena wengine wale wanaojitambua kabisa.
Nenda kamgawie basi acha uchoyo⦠ya nini kumtangaza wakati anataka kukichakata kitu muhimu kwake?Engonga kaja PM.
Anaitaka na yangu
Utanashati halafu ujinga wa wanawake huwa wanatambiana na kuambiana kuwa fln ni wanguUliwapataje mkuu?
Wanaume wengi wanapenda kuwa na tabia hiyo ya kutembea na wanawake wengi tofauti, ila wanaume wengi hawana uwezo huo, wanaume wengi wana miaka na miaka wapo single wanaishia kupiga nyeto au kununua wadada wanaojiuza barabarani, wengine wakijitahidi sana wanaishia ku-date na wadada 5 tofauti kwa miaka 5 tofautiWanaume wengi wana tabia hiyo
Thats not my case πWanaume wengi wanapenda kuwa na tabia hiyo ya kutembea na wanawake wengi tofauti, ila wanaume wengi hawana uwezo huo, wanaume wengi wana miaka na miaka wapo single wanaishia kupiga nyeto au kununua wadada wanaojiuza barabarani, wengine wakijitahidi sana wanaishia ku-date na wadada 5 tofauti kwa miaka 5 tofauti
Hivyo wadada msidangayike, wanaume ma-player wenye uwezo wa kutongoza na kupata wanawake wengi ni wachache, labda na wanaume wenzangu waje pigilia msumari kwenye hili
NB: Mwanaume kuwa na uwezo wa kutongoza na kupata wanawake wengi havina uhusiano na hela alizo nazo, mwanaume unaweza ukawa na hela nyingi lakini bado uka struggle kupata mdada mzuri wa kukuvulia nguo Dejane To yeye Extrovert Equation x Natafuta Ajira mzabzab Ms R
Wee ukiwa na hela mademu h agegedwa tuu maana wanajileta tuu Wala huwatafutiWanaume wengi wanapenda kuwa na tabia hiyo ya kutembea na wanawake wengi tofauti, ila wanaume wengi hawana uwezo huo, wanaume wengi wana miaka na miaka wapo single wanaishia kupiga nyeto au kununua wadada wanaojiuza barabarani, wengine wakijitahidi sana wanaishia ku-date na wadada 5 tofauti kwa miaka 5 tofauti
Hivyo wadada msidangayike, wanaume ma-player wenye uwezo wa kutongoza na kupata wanawake wengi ni wachache, labda na wanaume wenzangu waje pigilia msumari kwenye hili
NB: Mwanaume kuwa na uwezo wa kutongoza na kupata wanawake wengi havina uhusiano na hela alizo nazo, mwanaume unaweza ukawa na hela nyingi lakini bado uka struggle kupata mdada mzuri wa kukuvulia nguo Dejane To yeye Extrovert Equation x Natafuta Ajira mzabzab Ms R
Huo ni mtazamo wako binafsiWanaume wengi wanapenda kuwa na tabia hiyo ya kutembea na wanawake wengi tofauti, ila wanaume wengi hawana uwezo huo, wanaume wengi wana miaka na miaka wapo single wanaishia kupiga nyeto au kununua wadada wanaojiuza barabarani, wengine wakijitahidi sana wanaishia ku-date na wadada 5 tofauti kwa miaka 5 tofauti
Hivyo wadada msidangayike, wanaume ma-player wenye uwezo wa kutongoza na kupata wanawake wengi ni wachache, labda na wanaume wenzangu waje pigilia msumari kwenye hili
NB: Mwanaume kuwa na uwezo wa kutongoza na kupata wanawake wengi havina uhusiano na hela alizo nazo, mwanaume unaweza ukawa na hela nyingi lakini bado uka struggle kupata mdada mzuri wa kukuvulia nguo Dejane To yeye Extrovert Equation x Natafuta Ajira mzabzab Ms R
Tofaut Yao ni kuwa Hawarekodi lakini Kuna mkaka yeye alikuwa kilasiku anaamka mwanamke mpya kwake π na ana mke lkn mkewe yupo mbali Yan ni daily ukiona hujakutan na mgeni bas amesafiri π imagine for 2 yrs inakuwaje had unajiuliza anatongoza saa ngapiWanaume wengi wana tabia hiyo
Hao Wanawake walikuwa wazuri wenye sura nzuri na shepu au vibungo?Tofaut Yao ni kuwa Hawarekodi lakini Kuna mkaka yeye alikuwa kilasiku anaamka mwanamke mpya kwake π na ana mke lkn mkewe yupo mbali Yan ni daily ukiona hujakutan na mgeni bas amesafiri π imagine for 2 yrs inakuwaje had unajiuliza anatongoza saa ngapi
Wazuri tu jamn kilarang na kilashape zipoHao Wanawake walikuwa wazuri wenye sura nzuri na shepu au vibungo?
Huyo jamaa alikuwaje kimuonekano?Wazuri tu jamn kilarang na kilashape zipo