Lexus SUV
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,493
- 5,591
Issue ni kuwa binadamu wazima tunahisi njaa afu tunakula ili tuishi sasa hao ndugu zetu tajwa hapo juu wao wana pataje feelings kuwa wana njaa na wanahitaji kula?
Kwakuwa akili za ku sense hawana? au ndo tuite wanaji zima data afu wanajirudi kula then wana jizimisha data wana rudi hali hiyo ya uwendawazimu
Kwakuwa akili za ku sense hawana? au ndo tuite wanaji zima data afu wanajirudi kula then wana jizimisha data wana rudi hali hiyo ya uwendawazimu