Watu wenye roho mbaya ndio wanaofanikiwa maishani

Sahihi kabisa,jamaa kwenya pesa hawana mzaha,kwenye miradi yao wafamyakazi hudhurumia malipo yao au kulipwa kiduchu. Hata uwe mnyenyekevu kivip kwao mwisho wa siku utafukuzwa kama mbwa.
 
Sahihi kabisa,jamaa kwenya pesa hawana mzaha,kwenye miradi yao wafamyakazi hudhurumia malipo yao au kulipwa kiduchu. Hata uwe mnyenyekevu kivip kwao mwisho wa siku utafukuzwa kama mbwa.
Na ni wababe hao
 
Roho mbaya haisaidii, nimewasaidia wengi sana na sasa hivi nakula matunda yake..
Hongera kama umebahatika,lakini kibongo bongo ukimsaidia mtu tegemea mbeleni kuja kuwa adui wako mkubwa
 
Ungesema wanaroho ngumu/makauzu /wazee wa maamuzi magumu sawa ila roho mbaya uko ni negative haswa.

Hatupaswi kuwa na roho mbaya kwani ni dhambi na ubaya, ukiwa na rohombaya uwezi kuwa na network ya biashara pia uwezi pata wateja wa kudumu kwakuwa watakuchukia.

Ili ufanikiwe ni vizuri kuwa na roho ngumu nanapo sema roho ngumu namaana kwamba kuna vitu yaani wewe unaweza fanya bila kuangalia jamii itakuonaje ilimradi sijambo la ubaya mfano kutomuachia mtu chenchi hata kama ni 50/=, peke yako kugoma kutoa mchango wa harusi wa jamaa yenu, unasaidia kulingana na bajeti yako,ndoa yako haina sherehe, kama ni kijana wewe unakuwa upendezi kama vijana wenzako kwenda na fashion no, usaidii ndugu bila sababu maalumu,nk
 
Ni mulemule tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…