Watu weusi Ughaibuni na Kelele

Watu weusi Ughaibuni na Kelele

Ricky Blair

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2023
Posts
463
Reaction score
1,009
Nipo Ulaya; na kila ninachokiona na kunisikitisha ni jinsi watu weusi sisi tuna makelele sehemu zote na nyingi haswa tukiwa kw public transport au kw vyumba vya kushare; yaani lijitu linaongea masaa kw simu kwa nguvu zote kama roho inakata😡😡😡😡😡 na hajali Kama kuna watu wengine na ambao pia hawapendi( wazungu na watu weusi wengine kama mie) mtu una simu ya milioni unashindwa kununua earphones kweli??? Na hii tabia hata Bongo ipo kw daladala limtu linasikiliza mpira au movie kw loud speaker; jamani huu ni ushamba na mnatudhalilisha uku yaani wazungu wanaona waafrika wote wapo ivi; ukiwa unashare sehem na mtu usijiangalie wewe tu; ukiwa kw public transport, kw mgahawa au nini ukipokea simu nenda pembeni au sema kama sio dharura nipigie baadaye; sio kuongea kwa masaa na kwa sauti kama ya radi. Hii si sawa na tunawapa wabaguzi wa rangi silaha nyingine tu ya kutumia dhidi yetu. Mabadililo yanaanzia nyumbani. Hata kama chumba chako kichafu hata ukiwa ugenini hutosafisha chumba chako, ukiwa huoshi vyombo vyako baada ya kula pia ivyo ivyo. Tuanze kujirekebisha hii tabia naiona kutoka Bongo na huku waafrika kibao iwe kutoka Nigeria, Guinnea Bissau, Angola sijui wap hii tabia ipo. Ni tabia mbaya bwana si kila mtu anataka kusikia mambo yako. Kama unataka kuscream nunua ghorofa piga kelele lakini sio unashea sehem na mtu kisha unafanya huu upuuzi; alafu wakiambiwa ooh ubaguzi; umewahi kuona wazungu, wachina au wajapani wanafanya huu ujinga Bongo??? Mnatudhalilisha wengine uku mxieeeeeeu toleeni ushamba wenu uko Bongo kama walokole wenu wanapanda daladala kuubiri wakati kuna kanisa.
 
Ungeanza kuwambia huko kwanza sihatuna mpango wakuja huko kwa upinde
 
Nipo Ulaya; na kila ninachokiona na kunisikitisha ni jinsi watu weusi sisi tuna makelele sehemu zote na nyingi haswa tukiwa kw public transport au kw vyumba vya kushare; yaani lijitu linaongea masaa kw simu kwa nguvu zote kama roho inakata😡😡😡😡😡 na hajali Kama kuna watu wengine na ambao pia hawapendi( wazungu na watu weusi wengine kama mie) mtu una simu ya milioni unashindwa kununua earphones kweli??? Na hii tabia hata Bongo ipo kw daladala limtu linasikiliza mpira au movie kw loud speaker; jamani huu ni ushamba na mnatudhalilisha uku yaani wazungu wanaona waafrika wote wapo ivi; ukiwa unashare sehem na mtu usijiangalie wewe tu; ukiwa kw public transport, kw mgahawa au nini ukipokea simu nenda pembeni au sema kama sio dharura nipigie baadaye; sio kuongea kwa masaa na kwa sauti kama ya radi. Hii si sawa na tunawapa wabaguzi wa rangi silaha nyingine tu ya kutumia dhidi yetu. Mabadililo yanaanzia nyumbani. Hata kama chumba chako kichafu hata ukiwa ugenini hutosafisha chumba chako, ukiwa huoshi vyombo vyako baada ya kula pia ivyo ivyo. Tuanze kujirekebisha hii tabia naiona kutoka Bongo na huku waafrika kibao iwe kutoka Nigeria, Guinnea Bissau, Angola sijui wap hii tabia ipo. Ni tabia mbaya bwana si kila mtu anataka kusikia mambo yako. Kama unataka kuscream nunua ghorofa piga kelele lakini sio unashea sehem na mtu kisha unafanya huu upuuzi; alafu wakiambiwa ooh ubaguzi; umewahi kuona wazungu, wachina au wajapani wanafanya huu ujinga Bongo??? Mnatudhalilisha wengine uku mxieeeeeeu toleeni ushamba wenu uko Bongo kama walokole wenu wanapanda daladala kuubiri wakati kuna kanisa.
Ukouko Ulaya ulipo hebu jifunze kuandika kwa kuacha aya. Sio unacharaza sentesi zote pamoja kama unapiga ramli
 
Unyamaze shida upige makelele shida
Binadamu ni wakulalamika tu siku zote
 
Ukouko Ulaya ulipo hebu jifunze kuandika kwa kuacha aya. Sio unacharaza sentesi zote pamoja kama unapiga ramli
Low IQ bwana; mtu ameelewa ila anajifanya kubishana ili mradi tu; umeelewa haujaelewa??? Kwani naandika CV hapa?? Na nyie ndo wale wale ambayo hii pointi inawahusu. Kajambe mbele
 
Na wewe jifunze ku-mind your business. Watu na maisha yao aibu uone wewe? Au huko Ulaya wewe ndio mwenyeji wao?
 
Mkuu ungekua una mind your bussiness hayo yote ungeona ni Trush tu, Yaani Takataka.
 
Back
Top Bottom