Watu8 na FaizaFoxy wako wapi?!

Kuna miaka flani nilipiga tempo la mda mfupi pale jangwani huenda nilimuona lakin sikumjua

Pale namkumbuka madam ciara na madam rose wote wa chemistry
Isiwe ni kipindi kile Faiza alikua anafundisha Kiswahili Brazil kwenye chuo cha wanahabari
 
You must be very stupid. Walimu gani hawana exposure ? Kumbuka hatuongelei walimu wa madrasatul
Acha ujinga niambie kwa ukokotozi wa % ni waalimu wangapi wa tz waliofika USA na Canada achilia mbali kupanda mtumba wa bombadia hiyo ndiyo exposure ambayo walimu 98% hawana ila ffoxy anayo
 
Acha ujinga niambie kwa ukokotozi wa % ni waalimu wangapi wa tz waliofika USA na Canada achilia mbali kupanda mtumba wa bombadia hiyo ndiyo exposure ambayo walimu 98% hawana ila ffoxy anayo
Karne hii kupanda ndege ndio exposure ? Wanyakyusa wanapanda fast jet kila uchao nao tuseme wana exposure ? Sitii neno..kumbe hata yule twiga wetu aliyetoroshwa kwenye ndege ana exposure ? My lips are sealed
 
Tatizo LA faiza alikuwa pro ccm sana sasa jiwe linachemka kuendesha nchi faiza anashindwa kuipenda na kuitetea ccm kama alivyokuwa anafanya enzi za jk
Faiza hakuwa Pro CCM Faiza alikuwa Pro Mwinyi na mostly alikuwa Pro JK
 
emmyta unatafutwa humu JF, kama umebadili ID sema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…