Watuhumiwa wa ugaidi na nchi zao

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Kama tunatamani nchi hii iwe na magaidi, basi Mungu atatupatia tunachokiomba na ikiwezekana iwe soon ili tuone ubaya wa kamanda Mbowe kwa vitendo.

Wenzetu walionja gharama za magaidi na ugaidi, hawataki hata kusikia habari zao ila sisi siasa zimetufanye tutamani ugaidi basi Mungu atupatie kile tunachokitaka ili tufanye siasa vizuri zaidi.

Wanoaendelea kumuita Mbowe gaidi, watazame picha hii mara mbili mbili na wajiulize kama wako tayari kuishi na wanaoitwa magaidi wakati mlio tu wa bunduki wengine wanazimia na pressure kupanda.

Haya hawa ndio magaidi kwa mujibu wa hii katuni:



Narudiia, Mungu tupatie tunachokitaka ili kamanda wetu hapo afanane kivitendo na wenzake .
 
Usidhani kwa vile hakushika zana, basi hausiki, sawa? Jambo la msingi, vyombo vya ulinzi na usalama vitupatie ushahidi usio na mashaka juu ya kosa ama dhidi yake, ndipo wananchi tunaamua ukweli na uongo. Acha maneno, weka muziki!!!
 
Usidhani kwa vile hakushika zana, basi hausiki, sawa? Jambo la msingi, vyombo vya ulinzi na usalama vitupatie ushahidi usio na mashaka juu ya kosa ama dhidi yake, ndipo wananchi tunaamua ukweli na uongo. Acha maneno, weka muziki!
Ndio maana naomba tupewe tunachokitaka ili tufanye siasa tunazozitaka.
 
Hii issue ya Mbowe ni tofauti na huko ulikotolea mifano.

Issue hii pia sio ya kumlaumu Mama.

Hapa kuna kazi ya Majasusi wa Magharibi. Ndio maana wanakuambia hawana rafiki wa kudumu au adui wa kudumu. Wakati wa JPM walimuita Dikteta wakawa na akina Mbowe ilimradi JPM aondoke madarakani. Majasusi wao wakawa wanawapa mbinu akina Mbowe za nini wafanye ili wamuondoe JPM.

JPM alipofariki wakawa bega kwa bega na Mama na kuwageuka akina Mbowe. Majasusi wanamuambia Mama Mbinu ambazo akina Mbowe wanazitumia bila kujali wao Ndio waliwafundisha. LEO hii Mbowe Yuko korokoroni wao wamekaa kimya, hawaoni tena udikteta hapa nchini.

hutamsikia yule Barozi akitoa tamko tena, hutasikia matishio ya kukatiwa misaada tena; kwanini? kwasababu yote haya wanayafanya wao
 
Naunga mkono hoja.

Raisi Karubunika.
 
Sheria yetu imeelezea ugaidi ni nini?

Ni kitu gani ukifanya au ukiwa na dhamira ya kukifanya sheria inakuhesabu wewe ni gaidi?

Jeshi letu na idara zake kwao ugaidi ni nini?

NB; IGP Siro akiwa kamanda wa Dar akiwa na Makonda kariakoo alisema tusiuze picha za Rambo na za bunduki kwakua zinafundisha ugaidi.
 
Kwa hiyo unataka na wewe kuwa gaidi?
 
Mwenyezi Mungu wa Haki twakusihi ingilia kati usikawie.

Kama kweli Freeman ni Gaidi sheria ichukue mkondo wake lakini kama si Gaidi ila amesingiziwa kwa chuki na hila za Wanadamu eeeh Mwenyezi Mungu Baba twakusihi ingilia kati , please intervene the situation in Jesus name [emoji123]
Usikawie Baba.

Mungu anachukizwa sana na Udhalimu.
 
Si twakesha popošŸ¦‡šŸ¦‡šŸ¦‡, wakati wanatoka
Si twakesha popošŸ¦‡šŸ¦‡šŸ¦‡, wakati wanatoka
Si twakesha popošŸ¦‡šŸ¦‡šŸ¦‡, wakati wanatoka
Iyoooo waiona iyo, iyo,iyo waiona iyoooošŸ‘€
 
Wanasema Mbowe ni Gaidi na ushahidi wanao ikiwa na maana wamepeleleza mpaka wamekuja na ushahidi kamili cha AJABU wamemuweka Gaidi mahabusu mpaka upelelezi utakapokamilika😢

 
Kwa hiyo unataka kusema jpm ameondolewa na wazungu na mbowe
 
Aogopacho asiye haki ndiyo kimjiacho.
Bible say.


Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Mliwasahau BOKO HARAM sio?
 

Attachments

  • nigerian-girl-abducted-by-boko-haram-is-found.jpg
    35.9 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…