Watukaneni, wakashfuni, wadharauni, wazushieni, wadogosheni mnavyoweza lakini walimu wanaishi kwa furaha zaidi kuliko kundi lolote

Watukaneni, wakashfuni, wadharauni, wazushieni, wadogosheni mnavyoweza lakini walimu wanaishi kwa furaha zaidi kuliko kundi lolote

WhoWeBe

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2022
Posts
2,299
Reaction score
4,282
Hiyo ni kwa mujibu wa uchunguzi wangu, nawe unaweza kufanya hapo ulipo. Walimu wengi ni watu fulani wasio na stress zilizopitiliza nazungumzia wengi, sijakataa wapo wachache.
  • Utawakuta wakiwa na furaha muda mwingi sana. Sijui kuna uhusiano na ukaribu wa watoto?
  • Wanadumu mnoooo baada ya kustaafu (hawazeeki haraka) ukikutana na mwalimu aliyestaafu 2005 huwezi amini jinsi alivyo na strong. Wengine, wengi wao, huwa na miaka miwili au mitatu tu na huchoka haraka sana.
Ndo hivyo wadau!
 
Ifike pahala mada yoyote ya walimu iwe blocked, maana waweza andika positive ila mada ikagubikwa na dhihaka nyingi
 
Furaha gani?🤣wangekuwa na furaha wangekimbia ualimu?lijitu lilikuwa lialimu la shule ya msingi limeungaunga hadi sheria,then linahama ualimu afu linakuja kufosi cheo kwenye fani aloijulia ukubwan navlimewakuta masenior kibao Tena cream ya law kabisa siyo kubaka fani kama lilivyofanya🤔mie walimu siwapendi hapo tu na kuwa kimbelembele,komaen na ualimu wenu,hakuna aliyewalazimisha mpate alama ndogo kwenye foundation ya elimu🙏
 
Bbibyangu Mwalimu mstaaf Na babu yangu wana watoto kumi kati yao saba walimu ikiwemo Maza..Leo hii nije kuwadharau walimu wakati wamenipita majumba Na magari...Mimi injinia ila miyeyusho
 
Furaha gani?[emoji1787]wangekuwa na furaha wangekimbia ualimu?lijitu lilikuwa lialimu la shule ya msingi limeungaunga hadi sheria,then linahama ualimu afu linakuja kufosi cheo kwenye fani aloijulia ukubwan navlimewakuta masenior kibao Tena cream ya law kabisa siyo kubaka fani kama lilivyofanya[emoji848]mie walimu siwapendi hapo tu na kuwa kimbelembele,komaen na ualimu wenu,hakuna aliyewalazimisha mpate alama ndogo kwenye foundation ya elimu[emoji120]
Duu mzee unachuki Hadi inapitiliza unahitaji msaada wa kisaikoliojia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We shoga tu kama baba ako
Furaha gani?🤣wangekuwa na furaha wangekimbia ualimu?lijitu lilikuwa lialimu la shule ya msingi limeungaunga hadi sheria,then linahama ualimu afu linakuja kufosi cheo kwenye fani aloijulia ukubwan navlimewakuta masenior kibao Tena cream ya law kabisa siyo kubaka fani kama lilivyofanya🤔mie walimu siwapendi hapo tu na kuwa kimbelembele,komaen na ualimu wenu,hakuna aliyewalazimisha mpate alama ndogo kwenye foundation ya elimu🙏
ga
 
Furaha gani?🤣wangekuwa na furaha wangekimbia ualimu?lijitu lilikuwa lialimu la shule ya msingi limeungaunga hadi sheria,then linahama ualimu afu linakuja kufosi cheo kwenye fani aloijulia ukubwan navlimewakuta masenior kibao Tena cream ya law kabisa siyo kubaka fani kama lilivyofanya🤔mie walimu siwapendi hapo tu na kuwa kimbelembele,komaen na ualimu wenu,hakuna aliyewalazimisha mpate alama ndogo kwenye foundation ya elimu🙏
Kum la mama ako limeoza laana wew
 
Mwenyezi Mungu awabariki na awape mioyo ya subira walimu wote duniani.. NB: ni kwa walimu wanao fundisha masomo ya halali.
 
Back
Top Bottom