Huu unafki ni mbaya na haufai,,kwani walikuwa wanaswali hapo uwanjan??
Kuna siku nikatoka jioni kuangalia mechi ya azam na timu moja ya nje,,kuna mtu pale anaiombea azam ifungwe nikamuuliza,,Mbona huna uzalendo unashabikia wakuja?? Akaniambia eti hio ni timu ya waislam,,,Nikamwambia hilo linakukera nn?? Sasa nikajua ana ugonjwa mdogo tu ila mbaya.ila nilimpa shule kwamba Kuna wanaojiita wakristo yeye akienda hata kuomba kazi ya kufuta vioo hata kupikia mbwa hapati.lakini unaoona ni waislam wakakupa kazi au kukupa hata wazo.
Mimi wasafi festival hapa dar nitahudhuria.Pale kuna vipaji.Ni kama uache kuangalia mpira kisa mesi au ronaldo au aubameyang au toreira ni muislamu wakati kuna vipaji,,huko ni sawa na kuwa crazy.Furaha haina dini.