Watumiaji na wenye ufahamu kuhusu Toyota IST, naomba utatuzi wa hili

Watumiaji na wenye ufahamu kuhusu Toyota IST, naomba utatuzi wa hili

Mounting ya gear box na engine ziko poa?
Sometimes hawa mafundi wetu wa uswahilini ni shida Tu...kama upo dar nenda Temeke karibu na hospital kuna mafundi wazuri
 
Mimi24,
Vipi umeishapata ufumbuzi wa hilo tatizo? Mimi pia nina Probox ina tatizo kama hilo ila huwa nachukulia poa ingawa hako ka mlio kanakera sana.
 
Sio IST tu gari huwa zinaendana matatizo,kwa tatizo kama hilo hilo hata opa,raum au carina nayo itagonga hivyo. Kama uliweka specer wakaangalie wafungue buti mpaka pale juu walipofungia hizo specer. Kuna muda mwingine zinakuwa na kawaida ya kutoboa body upande wa shock up kwa juu. Vinginevyo fanya mpango uza agize ingine,IST iko kwenye soko sana kwa sasa,hivyo utauza vizuri tu
 
Vip umeishapata ufumbuzi wa hilo tatizo..? Mimi pia nina Probox ina tatizo kama hilo ila huwa nachukulia poa ingawa hako ka mlio kanakera sana..

Mimi pia nina shida hii, ngoja tuendelee kusubr michango ya watu...
 
Acha kumshuri ujinga eti uza hiyo ! Kwahiyo anaye nunua akutane na tatizo sio mshauri atafute fundi mzuri alekebishe kisha ndio auze
Sio IST tu gari huwa zinaendana matatizo,kwa tatizo kama hilo hilo hata opa,raum au carina nayo itagonga hivyo. Kama uliweka specer wakaangalie wafungue buti mpaka pale juu walipofungia hizo specer. Kuna muda mwingine zinakuwa na kawaida ya kutoboa body upande wa shock up kwa juu. Vinginevyo fanya mpango uza agize ingine,IST iko kwenye soko sana kwa sasa,hivyo utauza vizuri tu
 
Acha kumshuri ujinga eti uza hiyo ! Kwahiyo anaye nunua akutane na tatizo sio mshauri atafute fundi mzuri alekebishe kisha ndio auze
Eti ujinga?. Wewe unafikiri hizi gari used from Japan zote walioziuza kule kwenye soko japan zilikuwa nzima 100%. Zipo zilizopelekwa kwenye soko ksbb ya matatizo. Na hilo tatizo la hiyo IST ni lazima lilikuwemo hata wakati ananunua gari,na usishangae alieliuza japan kwenye soko,aliuza ksbb ya hilo hilo tatizo. Kuna mawili either amwambie anaemuuzia gari lina tatizo sehemu fulani kidogo,au ataligundua mwenyewe mnunuzi. Siwezagi ujinga wa kukaa na chombo kinachonizingua,iwe simu au gari
 
Mimi24,
Vipi umeishapata ufumbuzi wa hilo tatizo? Mimi pia nina Probox ina tatizo kama hilo ila huwa nachukulia poa ingawa hako ka mlio kanakera sana.

Sijajua mleta mada kama ametatua tatzo, lakin mimi binafs nimetatua kwa kufuangua siti yote ya nyuma nikakuta kuna bolt fulan zinafungwa kushika tunapoegamisha migongo yani vile viti ambavyo unaweza kukunja na kukunjua, zile bolt zilikua zinasugua kwenye bodi na nimekuta zimekula kias nimechongea rubber ndogo na kuweka glisi mlio umeisha ila nimesota sn kujua tatzo hilo, wengi tunadhan kila tatizo ni spea tu
 
Back
Top Bottom