Fundi kipara
Senior Member
- Oct 27, 2019
- 125
- 247
Hapana DLS 24 haipo hvyoAkutajie username yake halafu nenda msearch ila na yeye awe online halafu mkipige....
Washa vpn kwanza kwa proxy server za SA
Iko Vipi Mkuu Emu Tueleze Niende Nikachape Mtu UkoHapana DLS 24 haipo hvyo
TayaliIko Vipi Mkuu Emu Tueleze Niende Nikachape Mtu Uko
Shukran Mkuu Kama Kuna Trick Zingine Niachie HapaKuna sehemu ya kuweka code mnacheza
Mnakubaliana code ni ipi inbid iwe Unique ili msije mkaingilian na mtu mwingine.. mfano CCM234 etc
Ukiwa sehemu ya kucheza live kuna sehemu imeandikwa Friend match itakutaka Uweke code utaweka utasearch na yeye mua huo inbid aweke code ambyo mmekubaliana asearch basi baada ya hapo mtaona vikosi vyenu mnaweza endela kucheza.. uzuri hili mbs unaweza cheza siku nzima ukatumia mbs 100 tuu
View attachment 2940511
Siwez jua hujui ipi labda tungesema tucheze ubaya nimelifuta jana maana nina kazi inahitaji akili yangu iwepo 100%Shukran Mkuu Kama Kuna Trick Zingine Niachie Hapa
Yeah Bro Nimeona Sema Jamaa Angu Hayuko Online This TymUmeona hapo pa friend match??
Sijaupata Kama Unaweza Kuni Tag Nisaidie TafadhaliiKuna uzi pia upo wa dls wapo wadau mule
Dk 12 anza searchUtaniambia muda
Vip mbona haupo taja na dk ngapi nianze searchUtaniambia muda
Ingia online nikufungeUpo twende
SLW123