Msaada jamani, kwa wale wenye Visa card ya FNB mmepata tatizo lolote kutumia kadi hizo kwenye ATM siku hizi mbili tatu zilizopita? Maana nimeshindwa kutoa hela na nipo safarini.
Msaada jamani, kwa wale wenye Visa card ya FNB mmepata tatizo lolote kutumia kadi hizo kwenye ATM siku hizi mbili tatu zilizopita? Maana nimeshindwa kutoa hela na nipo safarini.