Watumiaji wa Iphone hiyo Space inamaana gani Au Inajazwaje?

Watumiaji wa Iphone hiyo Space inamaana gani Au Inajazwaje?

D Mtanzania

Member
Joined
Apr 27, 2018
Posts
22
Reaction score
17
65B03612-4E37-47D7-A880-5E354BFA150A.jpeg
Msaada Kwenye Mshale Unajazaje Hiyo Nafasi
 
unataka ununue nini ???

kama ni card ya malipo tumia

kadi za malipo za mtandao husika
 
View attachment 3137551Msaada Kwenye Mshale Unajazaje Hiyo Nafasi

Kwanini umehitaji wa apple ndio wajibu wakati hilo swali ni mtu yeyote anayenunua mtandaoni anaweza jibu? Kama unatumia kadi ya benki ya atm tazama maandishi yake imeandikwa nini visa, MasterCard? Jaza utakachoona, pia hizo number, expiration date na cvv utazipata kwenye atm card yako hiyo hiyo, vinginevyo unaweza tengeneza kadi mtandao kutokea mtandao wako wa simu itakupa jina la card kama ni visa ama na taarifa hizo zingine number, expiration na cvv
 
Kwanini umehitaji wa apple ndio wajibu wakati hilo swali ni mtu yeyote anayenunua mtandaoni anaweza jibu? Kama unatumia kadi ya benki ya atm tazama maandishi yake imeandikwa nini visa, MasterCard? Jaza utakachoona, pia hizo number, expiration date na cvv utazipata kwenye atm card yako hiyo hiyo, vinginevyo unaweza tengeneza kadi mtandao kutokea mtandao wako wa simu itakupa jina la card kama ni visa ama na taarifa hizo zingine number, expiration na cvv
Ile nafafi mwanzo haikuwepo tulikuwa tunajaza kawaida ila sasa hv wanasema lazima ijazwe
 
Back
Top Bottom