mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,440
- 2,952
[emoji1][emoji1][emoji1] wengine ni wazee wa shoo shoo.. Kumbe hamna kituKuna member humu wanadai wapo states na Europe wakati wapo hapahapa bongo Kigogo Mburahati,Buza,Tandale kwa Tumbo n,k.
Wengine hapa jf na stori za kudrive na story za kumiliki michuma ya nguvu,kumbe cheche uwongo mtupu.
Mtu anatoa uzi analalamika anatafuta ajira na maisha yake magumu hana kazi.[emoji1][emoji1][emoji1] wengine ni wazee wa shoo shoo.. Kumbe hamna kitu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtu anatoa uzi analalamika anatafuta ajira na maisha yake magumu hana kazi.
Alafu mtu huyouyo kwenye uzi mwingine wa kuhusu magari siku mbili za nyuma,alicoment anataka kununua brevis,anauliza kuagiza kutoka japan mpaka kufika bongo ni shilingi ngapi.
Wabongo sisi kwenye maisha ya kuigiza atujambo kwakweli.
Kuna member humu wanadai wapo states na Europe wakati wapo hapahapa bongo Kigogo Mburahati,Buza,Tandale kwa Tumbo n,k.
Wengine hapa jf na stori za kudrive na story za kumiliki michuma ya nguvu,kumbe cheche uwongo mtupu.
Mtu anatoa uzi analalamika anatafuta ajira na maisha yake magumu hana kazi.
Alafu mtu huyouyo kwenye uzi mwingine wa kuhusu magari siku mbili za nyuma,alicoment anataka kununua brevis,anauliza kuagiza kutoka japan mpaka kufika bongo ni shilingi ngapi.
Wabongo sisi kwenye maisha ya kuigiza atujambo kwakweli.
Wengine huwa wanautetemesha umaskini walionao..😂Mtu anatoa uzi analalamika anatafuta ajira na maisha yake magumu hana kazi.
Alafu mtu huyouyo kwenye uzi mwingine wa kuhusu magari siku mbili za nyuma,alicoment anataka kununua brevis,anauliza kuagiza kutoka japan mpaka kufika bongo ni shilingi ngapi.
Wabongo sisi kwenye maisha ya kuigiza atujambo kwakweli.
Wengine huwa wanautetemesha umaskini walionao..😂
Mara moja moja tunajaribu kuushtua umaskini ujue mda wake wa kukaa ni mfupi sana...Mtu anatoa uzi analalamika anatafuta ajira na maisha yake magumu hana kazi.
Alafu mtu huyouyo kwenye uzi mwingine wa kuhusu magari siku mbili za nyuma,alicoment anataka kununua brevis,anauliza kuagiza kutoka japan mpaka kufika bongo ni shilingi ngapi.
Wabongo sisi kwenye maisha ya kuigiza atujambo kwakweli.
[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna avatar hutoamini utakapo kutana nazo unaweza ukazimia mwaka mzima, utashangaa kitoto cha mwaka 2005 kinamtukana kijana wa kale wa mwaka 1960,
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]Kuna avatar hutoamini utakapo kutana nazo unaweza ukazimia mwaka mzima, utashangaa kitoto cha mwaka 2005 kinamtukana kijana wa kale wa mwaka 1960,
Kuna member humu wanadai wapo states na Europe wakati wapo hapahapa bongo Kigogo Mburahati,Buza,Tandale kwa Tumbo n,k.
Wengine hapa jf na stori za kudrive na story za kumiliki michuma ya nguvu,kumbe cheche uwongo mtupu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtu anatoa uzi analalamika anatafuta ajira na maisha yake magumu hana kazi.
Alafu mtu huyouyo kwenye uzi mwingine wa kuhusu magari siku mbili za nyuma,alicoment anataka kununua brevis,anauliza kuagiza kutoka japan mpaka kufika bongo ni shilingi ngapi.
Wabongo sisi kwenye maisha ya kuigiza atujambo kwakweli.
HahaahhaKuna avatar hutoamini utakapo kutana nazo unaweza ukazimia mwaka mzima, utashangaa kitoto cha mwaka 2005 kinamtukana kijana wa kale wa mwaka 1960,