Basi jamani msituseme tumekomaWakitokea wengine utajuta kwanini tumekutanishwa wengine wengine vichwa vimegeukia nyuma,wengine miguu yote ni ya kushoto,na wengine wana mapua kama nguruwe.
Wee mrembo Upo?Basi jamani msituseme tumekoma
Nipo dear za weweWee mrembo Upo?
Mangi kahamia pande za kwako uko ameshatukimbia huku General Mangi njoo bebe unaitwa hukuSalama...Mungu Mwema..
Msalimie Mangi[emoji3]
Mwambie tutafutane nimpe machimbo mapya[emoji16][emoji16]Mangi kahamia pande za kwako uko ameshatukimbia huku General Mangi njoo bebe unaitwa huku
ukweli kama ni mwanza natamani kukutana na wewe,,... hope inbox inahusika aisee[emoji23][emoji23]
Ananipigia kelele za kuja kulewa kimara kweli jamani zamani tunakuja wote kimara narudi nae ananirudisha mpaka nyumbani sasa hivi narudije peke yanguMwambie tutafutane nimpe machimbo mapya[emoji16][emoji16]
Unataka nichomwe na gunia la mkaa etiukweli kama ni mwanza natamani kukutana na wewe,,... hope inbox inahusika aisee
Hapana
Hata sitaki kukujua
Usinidhambishe
ππ Fanya ulale