Darcityconfidential
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 351
- 367
Sivuti Sigara, ila wewe ulie na akili timamu, ulitakiwa kuonyesha, kuwa unaakili timamu,Wavutaji wa sigara wote ni mataahira wanaambiwa ina madhara lakini bado wanavuta
We unaambiwa kitu fulani sumu bado unatumia ile haina sijui utumie Kidogo kama bia Wanakwambiaje'ONYO UVUTAJI WA SIGARA NI HATARI KWA AFYA YAKO'mtu ambaye haelewi tunamfananisha na taahira nimetumia neno hili kumaanisha mtu asiyeelewaSivuti Sigara, ila wewe ulie na akili timamu, ulitakiwa kuonyesha, kuwa unaakili timamu,
kwa kuwashauri, kwa maneno mazuri. Ila unapowaita matahira wakati ni watu wenye akili timamu, Wanaendesha mipango yao vizuri, na wengine wamefanikiwa zaidi yako. Wachina %80 wanavuta Sigara.
Maprofesa, Madaktari, Walimu, na Watalaam wa fani mbali mbali wanavuta sigara.
Unajua, Uji ukiuita Maziwa pale wewe utaonesha dalili za utahira, Sasa wewe wavuta sigara, kuwaita matahira, huku ikijulikana ni watu na akili zao, Sijui tahira ni nani kati yako na wao.
Yule aliyeenda kufungua kiwanda cha Marlboro juzi je?Wavutaji wa sigara wote ni mataahira wanaambiwa ina madhara lakini bado wanavuta
Anzeni kujipanga namna ya kukabiliana Na kansa ya mapafuHabari za Muda huu Wakuu,
Binafsi nina Addiction ya uvutaji Sigara. Wale wenye addiction ya uvutaji wa Sigara tubadilishane mawazo na tupeane maujanja na kujuzana aina mbali mbali za Sigara na flavor zake.
Personally huwa navuta most of cigarettes isipokuwa zenye sweet menthol kutokana na mahali nilipo na Upatikanaji wa Sigara kwa Muda huo.
Karibuni.
Mkuu hii miaka ya kuvuta na kuacha inadhihirisha kabisa uhenga wako, nakusalimu ndugu [emoji137]Nilikuwa addicted sana na hiyo makitu kwa zaidi ya miaka 20, namshukuru sana sana sana Mwenyezi Mungu nilifanikiwa kuacha kuvuta sigara kwa zaidi ya miaka 10 sasa
Vipi nyota hujawahi kujaribu?Mm sio mvutaji lakini naonja kwa mwaka Mara 2 na kwa matukio maalumu,..naipenda sana ubalozi(embassy) na Carmel[emoji6] nikikosa basi sports.
Hahahahaha daaah,..nyota sijawahi ila naipenda kwa sababu haina pakuanzia[emoji23][emoji23]Vipi nyota hujawahi kujaribu?
Sio SM kitu bariidi kama unakula pipi kifua[emoji12]Hahahahaha daaah,..nyota sijawahi ila naipenda kwa sababu haina pakuanzia[emoji23][emoji23]
Aah hawakukosea kuiita Sweet Menthol,.Sio SM kitu bariidi kama unakula pipi kifua[emoji12]
Hahah!! Ile kweli popote mwanzo popote mwisho ni nzuri kama kiungo ila ukijaribu yenyewe pia ina nguvu ya ushawishi sanaHahahahaha daaah,..nyota sijawahi ila naipenda kwa sababu haina pakuanzia[emoji23][emoji23]
Kuna kibibi flani kilikuwa kinapenda kweli kutumia hii kitu sanaa,.yani yule ni bange kabisaaaHahah!! Ile kweli popote mwanzo popote mwisho ni nzuri kama kiungo ila ukijaribu yenyewe pia ina nguvu ya ushawishi sana