Watumiaji wa solar haya betri hizi hutojutia

Watumiaji wa solar haya betri hizi hutojutia

El ohinu

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2020
Posts
242
Reaction score
412
Nauza betri used zlizotumika kwenye minara ya simu
Ni betri imara ikijaa mpk ije iishiwe moto sjui uwe na matumiz gani

Zipo zenye uwezo wa kuanzia 100ah/N mpk 150ah/N

Bei za 100ah/N ni 185000
Bei za 150ah_N ni 220000

Nipo mwanza
0735429104
 
Nauza betri used zlizotumika kwenye minara ya simu
Ni betri imara ikijaa mpk ije iishiwe moto sjui uwe na matumiz gani

Zipo zenye uwezo wa kuanzia 100ah/N mpk 150ah/N

Bei za 100ah/N ni 185000
Bei za 150ah_N ni 220000

Nipo mwanza
0735429104
Duh nyara ya taifa hiyo angalia umeweka no ya simu watakudaka na kesi ya uhujumu uchumi
 
Mkuu angalia utaenda JELA kizembe zembe ,Battery za minara kama Pembe za Ndovu.
Mmh labda zaman..siku hizi zipo kibao..kuna jamaa anauza mpya mwanza uko na bado zimekaa dukani tu...REA imeharibu biashara ya Solar...komaa tu kuuza mkuu ujikwamue
 
Back
Top Bottom