watumishi hasa walimu msaada tafadhali

watumishi hasa walimu msaada tafadhali

rubwe

Senior Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
109
Reaction score
25
Mwalimu aliacha kazi serikalimi takribani miaka mitano sasa na alivyoacha punde tu alikatiwa mshahara baada ya hapo akaomba ajira moevt akapata na amesharipoti na kuanza kazi kituo kipya sasa katika suala la mshahara akaonokana bado yupo kwenye pay roll na amefanikiwa kumuona mkurugenzi wake wa zamani ili kuhamisha data sheet sasa kule masijala wanadai faili halipo (faili halikuonekana masijala) utaratibu ukoje msaada tafadhali
 
Awahonge watampa,,,,wanaposema halionekan JAMAA HAWAELEWI?WANATAKA HELA YA MAZIWA HAO
 
Kazi ya awali alikua akifanya kazi gani? Idara ipi hasa??
 
Back
Top Bottom