Torra Siabba
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 243
- 287
Jamani siku moja nilienda Katika Hospitali ya Sant Clara ambayo iko Mkolani Jijini Mwanza kwaajili ya Matibabu ya Mke wangu, baada ya kufika tulianzia mapokezi ambapo tuliandikiwa vitu vya kufanya tulianza na vipimo, tukapima vyoote tukamaliza, baadae tukaruhusiwa kwenda nyumbani salama kabisa.
Baadaye tulirejea tena katika Hospitali hiyo kuendelea na Kliniki ambapo kama mnavyojua kila mwezi wakati tunahudumiwa mkewangu akaandikiwa dawa, yule Ness tukamuuliza saaa hizi anatumiaje? Akasema Mimi najali mshahara wangu mengine sijali sasa kwa kauli hii tena mbele ya Mgonja unajifunza nini?
Hii inamaanisha kwamba pengine Nesi wa Aina hii akikuta mgonjwa Yuko Mahtuti ataona anamsumbua na kumuacha afe, hivyo Waajiri katika hispitali hii muliangalie.maana mimi.binafsi niliamua kumhamisha mke wangu kufanya kliniki hapo.
Baadaye tulirejea tena katika Hospitali hiyo kuendelea na Kliniki ambapo kama mnavyojua kila mwezi wakati tunahudumiwa mkewangu akaandikiwa dawa, yule Ness tukamuuliza saaa hizi anatumiaje? Akasema Mimi najali mshahara wangu mengine sijali sasa kwa kauli hii tena mbele ya Mgonja unajifunza nini?
Hii inamaanisha kwamba pengine Nesi wa Aina hii akikuta mgonjwa Yuko Mahtuti ataona anamsumbua na kumuacha afe, hivyo Waajiri katika hispitali hii muliangalie.maana mimi.binafsi niliamua kumhamisha mke wangu kufanya kliniki hapo.