Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Nmb naona badoMzigo ushaingia toka jana ila hakuna chochote bumbavuuu kbsa
Eti kuku wa kienyeji 😂. Hawa ni watumishi wa local government ndio unawaponda hivi mkuuAhahahaha
Tumieni vizuri hizo annual increment, msimalize kwenye ulevi na zinaa.
Nunueni hata tukuku mle, inakuwaje mtumishi unamaliza miezi 6 hujala kuku wa kienyeji😭😭😭
Mnaziingiza wapiAhahahaha
Tumieni vizuri hizo annual increment, msimalize kwenye ulevi na zinaa.
Nunueni hata tukuku mle, inakuwaje mtumishi unamaliza miezi 6 hujala kuku wa kienyeji😭😭😭
Kwenye account zenuMnaziingiza wapi
Karibu CRDB, mapema sana jana saa tatu usiku. Ilibidi nirudi pale bar nikafute aibu kwa yule kuku wa kienyeji, sasahivi ndio nafika nyumbani nijiandae kwenda kibaruani.Akaunti Bado haijasoma
Akaunti Bado haijasoma