Watumishi tunaosubiri madaraja mwezi huu

Watumishi tunaosubiri madaraja mwezi huu

BestOfMyKind

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2012
Posts
1,350
Reaction score
1,464
Ndugu zangu na washikaji zangu ambao upepo wa kupanda daraja ulituacha mwezi uliopita japo tulistahili, tusipopanda mwezi huu tufanyaje? Tulioanza nao kazi na tuliowapita sasa wana mishahara mikubwa zaidi yetu japo elimu ni moja.
 
Hivi huko hamfanyiwi evaluation kama unashahili kupanda cheo. Maana naona kila mtu ni lazima apande cheo!
 
Hivi huko hamfanyiwi evaluation kama unashahili kupanda cheo. Maana naona kila mtu ni lazima apande cheo!
evaluation ipo. Tunajaza Opras za utumishi kila mwaka, kuna wakaguzi kila robo mwaka. Kila kitu kipo sawa, upande wa mwajiri ndio unatuangusha.
 
Ndugu zangu na washikaji zangu ambao upepo wa kupanda daraja ulituacha mwezi uliopita japo tulistahili, tusipopanda mwezi huu tufanyaje? Tulioanza nao kazi na tuliowapita sasa wana mishahara mikubwa zaidi yetu japo elimu ni moja.
Mama anaupiga mwingi balaa
 
Ngojeni kwanza jamani, tumekitoa chuma motoni, tuko kwenye fikra za haraka haraka, kati ya hewa, maji au oil kipi kinafaa ku-quench chuma chetu kikawa imara, ingawa wakati tunatafakari, chuma kiko hewani
 
Hakuna namna gvt waache ujanja ujanja wa kupandisha watu nusu nusu.

Hata mimi nawaza hapa sijui itakuaje mwezi huu wakiniacha tena nitaishi kwa stress sana
 
Back
Top Bottom