Watumishi wa kima cha chini Mkoani Singida watoa ya moyoni nyongeza ya mishahara.

Joined
Jun 4, 2022
Posts
68
Reaction score
184
Watumishi wa kima cha chini Mkoani Singida wamezungumzia nyongeza ya mishahara iliyotolewa na serikali ya awamu ya sita.​
Your browser is not able to display this video.
 
Ccm iliondoka na Rais Kikwete
 
Asanteeeeeee kwa shukurani kwa mh Rais maana mmetambua juhudi kubwa anazozifanya katika kuboresha maisha ya watanzania mkiwemo nanyi watumishi wa imma, kikubwa endeleeni kufanya kazi kwa bidii na weledi katika kuwatumikia watanzania kwa kutoa hudumu Bora na stahiki, serikali Ina Imani kubwa nanyi na ndio maana unaendelea kuwajari kila uchumi unaporuhusu kufanya hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…