Watumishi wa Serikali fungeni mikanda msitegemee OC kuingizwa Novemba

Watumishi wa Serikali fungeni mikanda msitegemee OC kuingizwa Novemba

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Ni moto kila idara na njaa, sio kawaida tunakwenda robo ya pili ya mwaka wa fedha hakuna activities zinakwenda. Kilichobaki ni kukopwa tu kazi hawatoi posho zaidi ya hela ya mafuta, nayo itakata.

Amkeni, amkeni, hamasisheni watu walipe kodi la sivyo mtachanganyikiwa muda sio mrefu kwa madeni, hampati chochote hata cha kufukia mashimo.

Hawasemi ukweli, wanasema makusanyo ni mazuri lakini hali halisi inaonekana kitaa.
 
Ni moto kila idara na njaa, sio kawaida tunakwenda robo ya pili ya mwaka wa fedha hakuna activities zinakwenda. Kilichobaki ni kukopwa tu kazi hawatoi posho zaidi ya hela ya mafuta, nayo itakata.

Amkeni, amkeni, hamasisheni watu walipe kodi la sivyo mtachanganyikiwa muda sio mrefu kwa madeni, hampati chochote hata cha kufukia mashimo.

Hawasemi ukweli, wanasema makusanyo ni mazuri lakini hali halisi inaonekana kitaa.
Zilishaingia
 
hali tete
We waache tu watunyime allowance na sisi tushindwe kwenda magengeni kununua nyanya kiumane kotekote kila mtu afe ndo lengo lao maana wanajifanya hawajui kama watumishi ndo watumiaji wazuri mitaani
 
OC mwaka huu wote imesua sua mkuu sijui kuna tatizo gani
Labda tusubiri bunge liishe wamalizane kulipana posho wao ndo waje kuanza kuangalia watendaji ..hazina waseme kitu kwa kweli sio poa
 
Hii nchi unaweza kusafiri zaidi ya kilomita 500 unakutana na mapori yako yako tu kibwerebwere hayajaendelezwa. Halafu wana kilasiku kulalamika.
Ndo tunataka watupe kazi sasa tupate hela za kuwekeza huko maporini
 
Ni moto kila idara na njaa, sio kawaida tunakwenda robo ya pili ya mwaka wa fedha hakuna activities zinakwenda. Kilichobaki ni kukopwa tu kazi hawatoi posho zaidi ya hela ya mafuta, nayo itakata.

Amkeni, amkeni, hamasisheni watu walipe kodi la sivyo mtachanganyikiwa muda sio mrefu kwa madeni, hampati chochote hata cha kufukia mashimo.

Hawasemi ukweli, wanasema makusanyo ni mazuri lakini hali halisi inaonekana kitaa.
umbeya
 
Ni moto kila idara na njaa, sio kawaida tunakwenda robo ya pili ya mwaka wa fedha hakuna activities zinakwenda. Kilichobaki ni kukopwa tu kazi hawatoi posho zaidi ya hela ya mafuta, nayo itakata.

Amkeni, amkeni, hamasisheni watu walipe kodi la sivyo mtachanganyikiwa muda sio mrefu kwa madeni, hampati chochote hata cha kufukia mashimo.

Hawasemi ukweli, wanasema makusanyo ni mazuri lakini hali halisi inaonekana kitaa.
Kwahiyo Kila Mtu anajua Nini maana Ya OC
 
We waache tu watunyime allowance na sisi tushindwe kwenda magengeni kununua nyanya kiumane kotekote kila mtu afe ndo lengo lao maana wanajifanya hawajui kama watumishi ndo watumiaji wazuri mitaani
Mshahara hampati Au mbona mnalalamika utadhani mnanyimwa Unyumba.. Au nyie ndio Wapigaji wenyewe mnaona Ugali unachelewa kutengwa muupiganie vizuri. Tena Bora Akaze Hivyo Hivyo Maana Mnajiwekeaga Activities Fake Nyingi na mnajilipa Hovyo na Madeni ya Uongo na Kweli
 
Ni moto kila idara na njaa, sio kawaida tunakwenda robo ya pili ya mwaka wa fedha hakuna activities zinakwenda. Kilichobaki ni kukopwa tu kazi hawatoi posho zaidi ya hela ya mafuta, nayo itakata.

Amkeni, amkeni, hamasisheni watu walipe kodi la sivyo mtachanganyikiwa muda sio mrefu kwa madeni, hampati chochote hata cha kufukia mashimo.

Hawasemi ukweli, wanasema makusanyo ni mazuri lakini hali halisi inaonekana kitaa.
mama yenu anapuyanga angani tu kutumbua mipesa, mtapata wapi pesa za kazi sasa? na ninaamini hata utendaji kazi wenu utaanza kupungua. serikali haina pesa inavyosemekana. imagine lidege lenu linapuyanga tu yaani huyu mama ni kama hajawahi kusafiri kuwa rais tu anataka asafiri hadi akome na crue ya watu kibao, anatumia garama nyingi. 2025 watumishi wa serikali mjitafakari wa kumchagua, na cha muhimu hata makamu wa rais chagueni mwenye uwezo Tanzania tujifunze kutokana na makosa.
 
Mshahara hampati Au mbona mnalalamika utadhani mnanyimwa Unyumba.. Au nyie ndio Wapigaji wenyewe mnaona Ugali unachelewa kutengwa muupiganie vizuri. Tena Bora Akaze Hivyo Hivyo Maana Mnajiwekeaga Activities Fake Nyingi na mnajilipa Hovyo na Madeni ya Uongo na Kweli
We hujielewi..mshahara wa Bure Kukaa ofisini je shughuli za miradi zisimame kisa hakuna pesa za kuisimamia..imagine bwana shamba Yuko mkoani anatakiwa akatoe elimu wilayani azungukie..je aende wilayani akiwa safari week nzima ale wapi alale wapi...tumia akili wewe pole Kwa kukosa ajira
 
We hujielewi..mshahara wa Bure Kukaa ofisini je shughuli za miradi zisimame kisa hakuna pesa za kuisimamia..imagine bwana shamba Yuko mkoani anatakiwa akatoe elimu wilayani azungukie..je aende wilayani akiwa safari week nzima ale wapi alale wapi...tumia akili wewe pole Kwa kukosa ajira
Mbona wanakusanya Trillion 2 kwa mwezi?
 
Mshahara hampati Au mbona mnalalamika utadhani mnanyimwa Unyumba.. Au nyie ndio Wapigaji wenyewe mnaona Ugali unachelewa kutengwa muupiganie vizuri. Tena Bora Akaze Hivyo Hivyo Maana Mnajiwekeaga Activities Fake Nyingi na mnajilipa Hovyo na Madeni ya Uongo na Kweli
mshahara wanapata, ila shughuli zingine zinazotakiwa kugharimiwa na serikali (sio kugarimiwa na mshahara) haziendelei.
 
Back
Top Bottom