johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nimeshuhudia pale KKKT Azania Front na Anglican church St Albans Jumatatu hadi Ijumaa Watumishi wa Serikal wanajaza Kanisa Asubuhi, Mchana na Jioni.
Hali hii nilizoea kuiona kwa wale Islam wanaoswali Swala 5 lakini sasa Wakristo ndio wanaongoza kwenda Ibadani
Hasa Wagalatia wa TRA, RITA na Uhamiaji wanakuwa wengi sana Azania Front hasa Asubuhi na Mchana.
Sijaelewa kama ni kumtafuta Mungu wa mbinguni tu au ni Toba baada ya kila dhambi ama kurogana na roho mbaya ndio zimeota mizizi serikini.
Mimi nawatia Moyo Wapendwa Utafuteni kwanza Ufalme wa mbinguni na mengine yote mtazidishiwa, amen!
Hali hii nilizoea kuiona kwa wale Islam wanaoswali Swala 5 lakini sasa Wakristo ndio wanaongoza kwenda Ibadani
Hasa Wagalatia wa TRA, RITA na Uhamiaji wanakuwa wengi sana Azania Front hasa Asubuhi na Mchana.
Sijaelewa kama ni kumtafuta Mungu wa mbinguni tu au ni Toba baada ya kila dhambi ama kurogana na roho mbaya ndio zimeota mizizi serikini.
Mimi nawatia Moyo Wapendwa Utafuteni kwanza Ufalme wa mbinguni na mengine yote mtazidishiwa, amen!