Hawaaminiki, usije ukawaiga, tazama zamani hawakuwa na jumuiya za kila Jumamosi, walikuwa wanawaponda wakatoliki hivi sasa nao wanajumuiya za kila Jumamosi na ndiyo majukwaa ya kuwagawa waumini wasiokuwa nacho na wale wenye nacho
Zamani hawakuwa wanasali mara kadhaa kwa siku, hivi sasa ndiyo hao!
Zamani walikuwa wanapata viongozi kwa neema ya Mungu, hapakuwepo kugombania madaraka, lakini leo hii, wanakwenda mpaka kwa waganga wa kienyeji kufanya mazindiko, wanasali na kufanya ibada za mazishi chini ya mitutu ya bunduki.
Mungu nifundishe kunyamaza juu ya wenzangu hawa.