#COVID19 Watumishi wa TBC 1 Watakiwa kujitokeza kwa wingi kupata chanjo ya UVIKO 19

#COVID19 Watumishi wa TBC 1 Watakiwa kujitokeza kwa wingi kupata chanjo ya UVIKO 19

Anonymous

Senior Member
Joined
Apr 6, 2006
Posts
118
Reaction score
339
Watumishi wote wamearifiwa kuwa kesho tarehe 7. 10. 2021 kuanzia saa 6 mchana kutakuwa na utoaji wa Chanjo ya Uviko-19 kwa watumishi wa TBC 1 na tarehe 8. 10. 2021 kuanzia saa 6 mchana Chanjo hiyo itatolewa kwa Watumishi wa TBC BH.

Wameombwa kujitokeza kwa wingi kuchoma Chanjo hiyo ili kuepukana na madhara yanayotokana na Ugonjwa wa Uviko 19.

Chanjo inatolewa bila malipo.
 
Kama ni wote hapo kuna kuombwa tena?

Hapo zengwe limeisha anza na kutafutiana nongwa.

Msako ofisi kwa ofisi, nyumba kwa nyumba, kitanda kwa kitanda
 
Back
Top Bottom