Anonymous
Senior Member
- Apr 6, 2006
- 118
- 339
Watumishi wote wamearifiwa kuwa kesho tarehe 7. 10. 2021 kuanzia saa 6 mchana kutakuwa na utoaji wa Chanjo ya Uviko-19 kwa watumishi wa TBC 1 na tarehe 8. 10. 2021 kuanzia saa 6 mchana Chanjo hiyo itatolewa kwa Watumishi wa TBC BH.
Wameombwa kujitokeza kwa wingi kuchoma Chanjo hiyo ili kuepukana na madhara yanayotokana na Ugonjwa wa Uviko 19.
Chanjo inatolewa bila malipo.
Wameombwa kujitokeza kwa wingi kuchoma Chanjo hiyo ili kuepukana na madhara yanayotokana na Ugonjwa wa Uviko 19.
Chanjo inatolewa bila malipo.