Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Ndugu zetu watumishi wa uma, kwanza niwapongeza kwa kuongezewa mshahara, ombi langu kwenu lipeni basi madeni yetu tuliyowakopesha kipindi mnapitia katika hali mbaya. Ahsanteni
Sisi wa sekta binafsi tutapambana na mabosi zetu, ikishindikana basii.
Sisi wa sekta binafsi tutapambana na mabosi zetu, ikishindikana basii.