Watumishi wa Umma 586,000 wametwishwa mzigo wa kuhudumia Watanzania zaidi ya milioni 65. Kwanini serikali haiwalipi mishahara mizuri?

Watumishi wa Umma 586,000 wametwishwa mzigo wa kuhudumia Watanzania zaidi ya milioni 65. Kwanini serikali haiwalipi mishahara mizuri?

The Sunk Cost Fallacy 2

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2022
Posts
9,436
Reaction score
10,944
Kwa mujibu wa maelezo ya Waziri wa Mipango na Uwekezaji Prof.Kitila Mkumbo,Nchi ya Tanzania Ina Jumla ya Watumishi wa Umma 586,000 ambao wanafanya kazi kwenye maeneo mbalimbali ya mwili wa Serikali.

1. Wizara na Idara(Serikali Kuu)
2. Mamlaka ya Serikali za Mitaa
3. Mashirika na Taasisi za Umma
4. Sekretarieti za Mikoa

Inasikitisha kuona idadi hii ya Watumishi wachache imebebeshwa mzigo la Kuhudumia Mamilioni ya Watanzania ambao ni Zaidi ya Milioni 65.

Pamoja na mzigo huu mkubwa waliobebeshwa Watumishi wa Umma,inashangaza na kusikitisha kwamba Wamekuwa wakinyanyaswa na kudharirishwa na Wanasiasa bila kujali mchango wao mkubwa na maumivu wanayopata kwenye kazi zao.

Mbaya zaidi inashangaza kuona Watumishi Hawa wachache wa Umma wanalipwa Mishahara kidogo saaana kiasi kwamba haikodhi hata nusu ya mahitaji Yao ya msingi.

Aidha Kwa bahati mbaya Wanasiasa wapuuzi wawewaminisha Wananchi kwamba watu Hawa ni wezi na Wana maisha mazuri na ya anasa wakati uhalisia sio kweli na Kila mmja anaona Hali ya maisha Yao.

Kiukweli nimeshangaa sana kuona Serikali inashindwa Kuwalipa vyema Watumishi Hawa wachache kiasi hiki ambao wanaoendesha gurudumu la Uchumi wa Nchi hii kubwa.

Just imagine 2/3 ya Watumishi hao wote(60%) eti wanapata mshahara chini ya 500k lakini Bado wanakatwa na Kodi, very sad indeed 👇👇



My Take:
Ifike mahala Serikali itambue mchango mkubwa wa Watumishi wa Umma na iwaongezee Mishahara,stahiki zao na ikome kuwasumbua wanapostaafu Utumishi wa Umma. Pia soma Asilimia 60% ya Wafanyakazi wote wa Tanzania Wanalipwa chini ya Tsh. 500,000


Poleni sana Watumishi wa Umma.👇👇

 
Kwa mujibu wa maelezo ya Waziri wa Mipango na Uwekezaji Prof.Kitila Mkumbo,Nchi ya Tanzania Ina Jumla ya Watumishi wa Umma 586,000 ambao wanafanya kazi kwenye maeneo mbalimbali ya mwili wa Serikali
1.Wizara na Idara(Serikali Kuu)
2.Mamlaka ya Serikali za Mitaa
3.Mashirika na Taasisi za Umma
4.Sekretarieti za Mikoa

Inasikitisha kuona idadi hii ya Watumishi wachache imebebeshwa mzigo la Kuhudumia Mamilioni ya Watanzania ambao ni Zaidi ya Milioni 65.

Pamoja na mzigo huu mkubwa waliobebeshwa Watumishi wa Umma,inashangaza na kusikitisha kwamba Wamekuwa wakinyanyaswa na kudharirishwa na Wanasiasa bila kujali mchango wao mkubwa na maumivu wanayopata kwenye kazi zao.

Mbaya zaidi inashangaza kuona Watumishi Hawa wachache wa Umma wanalipwa Mishahara kidogo saaana kiasi kwamba haikodhi hata nusu ya mahitaji Yao ya msingi.

Aidha Kwa bahati mbaya Wanasiasa wapuuzi wawewaminisha Wananchi kwamba watu Hawa ni wezi na Wana maisha mazuri na ya anasa wakati uhalisia sio kweli na Kila mmja anaona Hali ya maisha Yao.

Kiukweli nimeshangaa sana kuona Serikali inashindwa Kuwalipa vyema Watumishi Hawa wachache kiasi hiki ambao wanaoendesha gurudumu la Uchumi wa Nchi hii kubwa.

Just imagine 2/3 ya Watumishi hao wote(60%) eti wanapata mshahara chini ya 500k lakini Bado wanakatwa na Kodi,very sad indeed 👇👇

View: https://twitter.com/TheChanzo/status/1785669821759209982?t=8bznPufxnrFQhVna_t3pIQ&s=19

My Take:
Ifike mahala Serikali itambue mchango mkubwa wa Watumishi wa Umma na iwaongezee Mishahara,stahiki zao na ikome kuwasumbua wanapostaafu Utumishi wa Umma.Poleni sana Watumishi wa Umma.👇👇

View: https://twitter.com/CloudsMediaLive/status/1800789201027219817?t=r0Ic8O-OWCgcCRDfyfJing&s=19

Mahahara pekee hautoshi, kuna tatizo lingine la mazingira wezeshi. Mazingira ya 70s maeneno mengi yamebadi yale yale
 
Waulizwe wabunge wanao jilipa posho na mishahara minono na kuendelea kupitisha/kupendkeza miswada kandamizi ya kikokotoo. Kama chombo kinacho isimamia serikali bado hakijaona umuhimu wa kuwatetea watumishi.

By the way leo umekuja na HOJA NZURI uchawa umeuacha pembeni kwenye ile ID nyingine hongera
 
Kwa mujibu wa maelezo ya Waziri wa Mipango na Uwekezaji Prof.Kitila Mkumbo,Nchi ya Tanzania Ina Jumla ya Watumishi wa Umma 586,000 ambao wanafanya kazi kwenye maeneo mbalimbali ya mwili wa Serikali
1.Wizara na Idara(Serikali Kuu)
2.Mamlaka ya Serikali za Mitaa
3.Mashirika na Taasisi za Umma
4.Sekretarieti za Mikoa

Inasikitisha kuona idadi hii ya Watumishi wachache imebebeshwa mzigo la Kuhudumia Mamilioni ya Watanzania ambao ni Zaidi ya Milioni 65.

Pamoja na mzigo huu mkubwa waliobebeshwa Watumishi wa Umma,inashangaza na kusikitisha kwamba Wamekuwa wakinyanyaswa na kudharirishwa na Wanasiasa bila kujali mchango wao mkubwa na maumivu wanayopata kwenye kazi zao.

Mbaya zaidi inashangaza kuona Watumishi Hawa wachache wa Umma wanalipwa Mishahara kidogo saaana kiasi kwamba haikodhi hata nusu ya mahitaji Yao ya msingi.

Aidha Kwa bahati mbaya Wanasiasa wapuuzi wawewaminisha Wananchi kwamba watu Hawa ni wezi na Wana maisha mazuri na ya anasa wakati uhalisia sio kweli na Kila mmja anaona Hali ya maisha Yao.

Kiukweli nimeshangaa sana kuona Serikali inashindwa Kuwalipa vyema Watumishi Hawa wachache kiasi hiki ambao wanaoendesha gurudumu la Uchumi wa Nchi hii kubwa.

Just imagine 2/3 ya Watumishi hao wote(60%) eti wanapata mshahara chini ya 500k lakini Bado wanakatwa na Kodi,very sad indeed 👇👇

View: https://twitter.com/TheChanzo/status/1785669821759209982?t=8bznPufxnrFQhVna_t3pIQ&s=19

My Take:
Ifike mahala Serikali itambue mchango mkubwa wa Watumishi wa Umma na iwaongezee Mishahara,stahiki zao na ikome kuwasumbua wanapostaafu Utumishi wa Umma.Poleni sana Watumishi wa Umma.👇👇

View: https://twitter.com/CloudsMediaLive/status/1800789201027219817?t=r0Ic8O-OWCgcCRDfyfJing&s=19

Serikali inawajali mno wanasiasa kuliko watumishi watendaji,

Tunakwama Sana.
 
Kitendo cha kuchimba Mei Mosi bado hakijasameheka walimshauri vibaya,JK atakumbukwa sana aliwajali mno watumishi..
JK akumbukwe Kwa lipi hasa? Umeambiwa 60% ya hao Watumishi wanalipwa chini ya 500k unasema akumbukwe?

Hivyo ndio vihela nyie Watumishi mnastahili au?
 
Kuna siku tulifanya analysi za kiuchumi tuligundua Watanzania wengi wafanyabiashara wakubwa,wa kati na wadogo wengi hawalipi kodi.
Na hii inatokana na uzembe wa Serikali kuendekeza rushwa. TRA na watumishi wake ni rushwa tu zinaliwa-hii nchi maenendeleo tutayasikia kwenye bomba.

Anayebisha aende kuangalia makusanyo ya TRA kwa mwezimengi yanayoka kwenye Kodi za Watumishi na kodi za biddhaa zinazoagizwa nje.
 
1.Wanasiana wanatafuta ubunge/uwaziri wakwepe kodi Serikali
2.Wafanyabiashara wakubwa ndio hao hao-wanasiasa na viongozi wenu mliowakabidhi Nchi na viongozi went wastaafu
3.Wafanyabiashara wa kati-kutwa kutoa rushwa kwa TRA officers wasitoe kodi
4.Wafanyabiashara wadogo maelfu hawajasajiliwa na hawapo kwenye mfumo wa kikodi.

Halafu tunategemea kuwa nchi itaendelea,matokeo yake ni mikopo tu
 
Kuna siku tulifanya analysi za kiuchumi tuligundua Watanzania wengi wafanyabiashara wakubwa,wa kati na wadogo wengi hawalipi kodi.
Na hii inatokana na uzembe wa Serikali kuendekeza rushwa. TRA na watumishi wake ni rushwa tu zinaliwa-hii nchi maenendeleo tutayasikia kwenye bomba.

Anayebisha aende kuangalia makusanyo ya TRA kwa mwezimengi yanayoka kwenye Kodi za Watumishi na kodi za biddhaa zinazoagizwa nje.
Kodi zinalipwa sana ila matumizi ya serikali ndio makubwa, yes Kuna leakages za mapato ndo mana rushwa kwa wafanyazi wa Tra inashamiri,
Sio kweli pia kwamba wafanya kazi wanalipa kodi kubwa kuliko wafanyabiashara, japo nakunaliana nawe kuwa ukwepaji wa kodi ni mkubwa
 
si waache kwan wamelazimishwa wapo wengine mtaani wengi wenye elimu kubwa kuliko wao...
 
Back
Top Bottom