mwanamichakato
JF-Expert Member
- Mar 20, 2015
- 1,188
- 1,090
Kuelekea uchaguzi mkuu mwaka huu kuna mbilinge kubwa linaendelea ktk majimbo mengi hapa nchi. Fedha zinamwagwa Kama ulezi Kwa wananchi, wajumbe, wenyeviti n.k..
Si DSM, Songwe, Geita, Mwanza, kagera, Mara, Dodoma, Lindi, Tanga, Tabora, Chunya, Tarime, Simiyu, Kigamboni, Rungwe, Kibaha, Makete,..N.k
Safari hii watumishi wa Umma waandamizi wamekuwa wakituhumiwa Kwa namna moja ama nyingine kugawa taklima Kwa nguvu kubwa kujenga ushawishi Kwa wapiga kura.
Swali,wanatoa wapi ukwasi huu? Je taasisi wanazoziongoza Zipo salama kiasi gani? Nini athali ya Kiongozi ikiwa watakwaa madaraka ya kisiasa ? Je taifa litafika liendako kupitia viongozi walio tayari kununua madaraka/vyeo Kwa mabilioni? Wanaweza kupinga rushwa na ufisadi?
Si DSM, Songwe, Geita, Mwanza, kagera, Mara, Dodoma, Lindi, Tanga, Tabora, Chunya, Tarime, Simiyu, Kigamboni, Rungwe, Kibaha, Makete,..N.k
Safari hii watumishi wa Umma waandamizi wamekuwa wakituhumiwa Kwa namna moja ama nyingine kugawa taklima Kwa nguvu kubwa kujenga ushawishi Kwa wapiga kura.
Swali,wanatoa wapi ukwasi huu? Je taasisi wanazoziongoza Zipo salama kiasi gani? Nini athali ya Kiongozi ikiwa watakwaa madaraka ya kisiasa ? Je taifa litafika liendako kupitia viongozi walio tayari kununua madaraka/vyeo Kwa mabilioni? Wanaweza kupinga rushwa na ufisadi?