Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Ni kwamba katika utawala wa Magufuli mwaka 2018/2019 baadhi ya Watumishi kwenye Taasisi ambazo zina majina walifanyiwa uchunguzi wa kimya kimya kwenye Akounti zao za mabenki.
Nasikia kuna mzee moja alikuwa anafanya kazi MSD, wakamkuta bank na fedha kiasi cha shilingi Bilioni 2 za Kitanzania, wanasema PCCB na jeshi la polisi walimsakama sana Jamaa.
Badaye jamaa alitoa vielelezo vyote kwamba hizo hela alikuwa nafanya saving kutoka kwenye mshahara wake pamoja na posho ambazo alikuwa anazipata Ofisini kwake toka alipo pata ajira yake ndipo wakamuachia.
Hili ni somo kubwa sana kufanya saving mpaka kupata 2B najua imechukua zaidi ya miaka 20 but huyu hata kuwa kama wastafu wengine ataenjoy maisha yake hadi siku anaingia kaburini.
Watumishi haya mambo yanawezekana, penye nia kuna njia.
Nasikia kuna mzee moja alikuwa anafanya kazi MSD, wakamkuta bank na fedha kiasi cha shilingi Bilioni 2 za Kitanzania, wanasema PCCB na jeshi la polisi walimsakama sana Jamaa.
Badaye jamaa alitoa vielelezo vyote kwamba hizo hela alikuwa nafanya saving kutoka kwenye mshahara wake pamoja na posho ambazo alikuwa anazipata Ofisini kwake toka alipo pata ajira yake ndipo wakamuachia.
Hili ni somo kubwa sana kufanya saving mpaka kupata 2B najua imechukua zaidi ya miaka 20 but huyu hata kuwa kama wastafu wengine ataenjoy maisha yake hadi siku anaingia kaburini.
Watumishi haya mambo yanawezekana, penye nia kuna njia.