Kindo Sila
Member
- Jun 22, 2024
- 6
- 6
Wadau tujuzwe hili kwa ufafanuzi.
Nini shida kwa watumishi wa umma, waliohamishwa na Katibu Mkuu, TAMISEMI kwenda HALMASHAURI zingine, hasa walimu kuto hamishwa mishahara tangu walipohama Kati ya September na October 2023.
Kwa maana kwamba CHEKI NAMBA bado zinasoma kwa Mwajiri we zamani kwenye MFUMO wa UTUMISHI na siyo mwajiri mpya.
Afisa Utumishi wa HALMASHAURI anasema, taarifa kasha tuma TAMISEMI, lakini MFUMO inaonyesha jamaa bado yupo kwa Mwajiri wa zamani. JE shida Ni Nini??
Nini shida kwa watumishi wa umma, waliohamishwa na Katibu Mkuu, TAMISEMI kwenda HALMASHAURI zingine, hasa walimu kuto hamishwa mishahara tangu walipohama Kati ya September na October 2023.
Kwa maana kwamba CHEKI NAMBA bado zinasoma kwa Mwajiri we zamani kwenye MFUMO wa UTUMISHI na siyo mwajiri mpya.
Afisa Utumishi wa HALMASHAURI anasema, taarifa kasha tuma TAMISEMI, lakini MFUMO inaonyesha jamaa bado yupo kwa Mwajiri wa zamani. JE shida Ni Nini??