tinkanyarwele
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 2,016
- 1,946
Kwa wale Watumishi wa Umma ambao wamebahatika kupata uhamisho unaotolewa na Tamisemi kati ya mwezi May hadi July 2021, vip kuna ambao wamepata vibali au barua za kuruhusiwa kwenda waliko hamia?
Mwenye taarifa zaidi tafadhali atujuze. Hii ni kwa sababu hali hii haijazoeleka kwa miaka ya nyuma kwani majina yalipo kuwa yanatangazwa kwenye tovuti ya Tamisemi basi barua zilikuwa zimeshatangulia kwenye halmashauri husika, lakini kipindi hiki jambo hili limekuwa tofauti sana maana mpaka sasa hivi bado barua hazijatoka.
Mwenye taarifa zaidi atushirikishe.
Mwenye taarifa zaidi tafadhali atujuze. Hii ni kwa sababu hali hii haijazoeleka kwa miaka ya nyuma kwani majina yalipo kuwa yanatangazwa kwenye tovuti ya Tamisemi basi barua zilikuwa zimeshatangulia kwenye halmashauri husika, lakini kipindi hiki jambo hili limekuwa tofauti sana maana mpaka sasa hivi bado barua hazijatoka.
Mwenye taarifa zaidi atushirikishe.