Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Niende kwenye mada watumishi wa umma na wafanyakazi na vyama vyenu vya cwt tughe tuico nk huwa mnakata sana viuno mkiimba kwaya kubembeleza muongezewe hela yani mmekuwa kama mazuzu nawauliza kungali mapeeeeeeeemaaaaa mtamualika tena jpm meimosi ya 2019 ? Nawatakia kila LA heri na maandalizi mema ya kwaya na t-shirts!!!!!!!