Hawa ni wahanga haswa wa awamu hii.
Hawajaongezewa mishahara kwa mujibu wa sheria wakiambiwa wanajengewa madaraja na kununuliwa ndege.
wapo waliosimamishwa na kufukuzwa kazi kwa mihemko ya viongozi vichaa vichaa.
Hatutawashangaa watakapopewa nyongeza ya mishahara iliyocheleweshwa na kutuambia raisi anawajali.
KUMBUKENI KIKOKOTOO NI MWISHO 2023 KIPO.
CCM OYEEEEEEEE