Watumishi wa Umma waliotia nia kugombea nafasi mbalimbali za kisiasa kukatwa mshahara wa mwezi Julai

Watumishi wa Umma waliotia nia kugombea nafasi mbalimbali za kisiasa kukatwa mshahara wa mwezi Julai

Tila-lila2

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2019
Posts
652
Reaction score
1,058
Haijulikani sababu ni zipi zimeletekeza watumishi wa Umma ndiyo kuwa wengi katika kutia nia kuliko wafanyabishara na wafanyakazi wa Sekta Binafsi. Kuna wengine ambao waajiri wao wamegoma kuwapitishi ruhusa.

Kuna wengine kwa kuona mizengwe ya viongozi wao kuhusu kuomba ruhusa wameamua kuondoka bila kusubiri hizo ruhusa na wengine wametumia likizo zao. Kila mmoja kivyake. Kuna waajiri ambao pia wameanza kuwaita watia nia ambao wanaona hawakuomba ruhusa na kuwalazimisha kuandika barua za kujieleza. Watumishi wa umma wananyanyasika sana katika utawala huu!

1595487334297.png

1595487389540.png
 
Unapo omba kazi kuna masharti unayakubali, sasa ukiyavunja inakuwa sio haki yako?
Kama hao ambao hawakuomba ruhusa wakitaka uhuru wa aina hiyo waache kuajiliwa wakajiajiri wenyewe, hapo hakuna cha ruhusa, unajiendea unavyotaka.
 
Unapo omba kazi kuna masharti unayakubali, sasa ukiyavunja inakuwa sio haki yako?
Kama hao ambao hawakuomba ruhusa wakitaka uhuru wa aina hiyo waache kuajiliwa wakajiajiri wenyewe, hapo hakuna cha ruhusa, unajiendea unavyotaka.
Kwa hiyo wanaweza wakapoteza ajira?
 
D1A1B0B6-74D6-4E83-832C-16D94BE2C337.jpeg

210B7B97-B78A-446A-825E-29229DE84A99.jpeg


Zipo taarifa za kuzuia mishahara ya Watumishi waliogombea nafasi mbalimbali katika mwezi huu wa Julai, aliyetoa ushauri huu ana nia ya kutaka kumuharibia Rais Magufuli 2020, Oktoba 28.

Rais Magufuli nikuombe uingilie kati hili si jambo la afya na ukingazatia watia nia hao wataombwa kwenda kusaidia kuweka umoja katika majimbo waliogombea, nani atakubali kwenda kusaidia chama wakati mshahara wake ulikatwa.

Wapo baadhi ya watu hawamsaidii Rais, hili jambo kwa mwaka huu kibali kama lilivyozoeleka

Rais Magufuli ni mwerevu na kuelewa, usikubali hujuma hii kwako.

Mishahara ulikatwa hakuna atakayebaki salama

Maana Rais na yeye ni mtumishi wa umma, mawaziri na wao ni watumishi wa Umma kila mtu aliacha kazi kwenda kugombea.

Hapa twende na Utanzania wetu

Serikali ya CCM ni SIKIVU
 
Back
Top Bottom