nashicha
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 279
- 524
Wanabodi kwa jinsi ilivyo duniani vyeo tulivyonavyo ni mamlaka ya muda tu Bado utu wetu na nidhamu ni muhimu sana hakuna haja ya kupandisha mabega na kujipa umungu mtu hata tuwe na elimu ya aina gani hatukupewa uwezo wa kujua Kesho yetu.
Leo Wakuu wa mikoa willaya wakurugenzi na wote waliokuwa na mamlaka awamu ya Tano lazima wamepata somo kubwa sana maana maandiko yanasema OLE WAKE AMTEGEMEAYE MWANADAMU MWENZAKE.
Leo hii watu kwa mioyo Yao hata kama hawajashtakiwa hawapo mahakamani Wala hawajaondolewa madarakani wanauheshimu ukuu wa MUNGU kupitia Sabaya, madaraka ni ya muda tuu yasikuondolee utu wako Leo viongozi waliokuwa wanajipa umungu mtu wako kimya HAWAJUI Kesho Yao maana wamekutana na Mkuu wao asiyependa dhulma.
Leo Wakuu wa mikoa willaya wakurugenzi na wote waliokuwa na mamlaka awamu ya Tano lazima wamepata somo kubwa sana maana maandiko yanasema OLE WAKE AMTEGEMEAYE MWANADAMU MWENZAKE.
Leo hii watu kwa mioyo Yao hata kama hawajashtakiwa hawapo mahakamani Wala hawajaondolewa madarakani wanauheshimu ukuu wa MUNGU kupitia Sabaya, madaraka ni ya muda tuu yasikuondolee utu wako Leo viongozi waliokuwa wanajipa umungu mtu wako kimya HAWAJUI Kesho Yao maana wamekutana na Mkuu wao asiyependa dhulma.