Watumishi wa umma wavurugwa, annual increment wanasema punguzo la kodi

Watumishi wa umma wavurugwa, annual increment wanasema punguzo la kodi

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Hivi mtu akikuambia nakupunguzia kodi so lazima atakuambia ni asilimia ngapi anakupunguzia! Halafu waziri alisema kodi itaondolewa kwa wale wanaolipwa 270, 000 kushuka chini tu ambapo awali favor iliwagusa wale waliokuwa wanalipwa chini ya 170, 000 tu na wengi au karibu wote hapa si watumishi wa umma. Watumishi wa umma wanalipwa kuanzia laki tatu.

Kuna kodi ambayo hukatwa watumishi nje ya ile PAYE ya 9% , na hii haiwagusi watumishi wote wa umma. Ila hii inrement ya jana kila mtumishi wa umma imemfikia bila kujali ukuwa wa mshahara wake. Niko tayari kukosolewa lakini naendelea kusisitiza kuwa kilichofanyika kwa watumishi wa umma si punguzo la kodi bali ni ongezeko la mwaka ambalo halizidi 5% ya mshahara.

Kwa wanaotaka kuprove wachukue barua zao za kupandishwa vyeo wasome ile grafu ya increment yao wataoanisha na kilichoongezeka kwenye mshahara tuliolipwa jana au barua ya kuajiriwa wajionee
 
Serikali Ya Awamu Hii Ya Tano ni sikivu. Inawajari Wananchi Wake Kwa Namna Yake
 
Nani kakwambia kuwa hiyo ni annual increment?
Nimeoanisha na barua yangu ya ajira nimeprove. Kwenye barua ya ajira wameonyesha increment zote.
Hii ilitokea pia sijui 2018 vile July kama sikosei.
Nyie mnameza tu kila anachosema mwanasiasa. Hakuna punguzo la kodi. Subiri tar 31 salary slip ndio itaongea.
 
Hivi mtu akikuambia nakupunguzia kodi so lazima atakuambia ni asilimia ngapi anakupunguzia!
Halafu waziri alisema kodi itaondolewa kwa wale wanaolipwa 270, 000 kushuka chini tu ambapo awali favor iliwagusa wale waliokuwa wanalipwa chini ya 170, 000 tu na wengi au karibu wote hapa si watumishi wa umma. Watumishi wa umma wanalipwa kuanzia laki tatu.
Kuna kodi ambayo hukatwa watumishi nje ya ile PAYE ya 9% , na hii haiwagusi watumishi wote wa umma.
Ila hii inrement ya jana kila mtumishi wa umma imemfikia bila kujali ukuwa wa mshahara wake.
Niko tayari kukosolewa lakini naendelea kusisitiza kuwa kilichofanyika kwa watumishi wa umma si punguzo la kodi bali ni ongezeko la mwaka ambalo halizidi 5% ya mshahara.
Kwa wanaotaka kuprove wachukue barua zao za kupandishwa vyeo wasome ile grafu ya increment yao wataoanisha na kilichoongezeka kwenye mshahara tuliolipwa jana . Au barua ya kuajiriwa wajionee
Kama hujui ni heri ujinyamazie, huu ni upotoshaji mkubwa, unataka kumuyumbisha nani

Sent from my HRY-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Nimeoanisha na barua yangu ya ajira nimeprove. Kwenye barua ya ajira wameonyesha increment zote.
Hii ilitokea pia sijui 2018 vile July kama sikosei.
Nyie mnameza tu kila anachosema mwanasiasa. Hakuna punguzo la kodi. Subiri tar 31 salary slip ndio itaongea.
Hoja mfu hii

Sent from my HRY-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Hivi mtu akikuambia nakupunguzia kodi so lazima atakuambia ni asilimia ngapi anakupunguzia!
Halafu waziri alisema kodi itaondolewa kwa wale wanaolipwa 270, 000 kushuka chini tu ambapo awali favor iliwagusa wale waliokuwa wanalipwa chini ya 170, 000 tu na wengi au karibu wote hapa si watumishi wa umma. Watumishi wa umma wanalipwa kuanzia laki tatu.
Kuna kodi ambayo hukatwa watumishi nje ya ile PAYE ya 9% , na hii haiwagusi watumishi wote wa umma.
Ila hii inrement ya jana kila mtumishi wa umma imemfikia bila kujali ukuwa wa mshahara wake.
Niko tayari kukosolewa lakini naendelea kusisitiza kuwa kilichofanyika kwa watumishi wa umma si punguzo la kodi bali ni ongezeko la mwaka ambalo halizidi 5% ya mshahara.
Kwa wanaotaka kuprove wachukue barua zao za kupandishwa vyeo wasome ile grafu ya increment yao wataoanisha na kilichoongezeka kwenye mshahara tuliolipwa jana . Au barua ya kuajiriwa wajionee
Sijui kama unaelewa ulichoandika
 
Nimeoanisha na barua yangu ya ajira nimeprove. Kwenye barua ya ajira wameonyesha increment zote.
Hii ilitokea pia sijui 2018 vile July kama sikosei.
Nyie mnameza tu kila anachosema mwanasiasa. Hakuna punguzo la kodi. Subiri tar 31 salary slip ndio itaongea.
Salar slip ya mwezi July iko vilevile, hakuna senti imeongezeka, wamefanya kuhamisha yaani kutoa kiwango fulani kwenye kodi na wakakishusha chini kwenye take home basi. Hakuna mkataba wa ajira unasema mtumishi atapunguziwa kodi ielekezwe kwenye take home, hivyo kilichofanyika ni utashi wa viongozi wa kisiasa ambao wameendelea kuwaumiza watumishi wa umma kisa wanajua hawana pa kusemea, ukisema utaitwa mchochezi na utafunguliwa mashitaka na kufukuzwa kazi ikiwezekana, hakika Mh Magufuli amefunga miaka mitano kamili bila kuwasaidia watumishi wa umma bali ni maumivu makali sana anayozidi kuwapa. Maisha magumu sana japo kwa viongozi wa kisiasa hayo hawayajui.
 
Nimeoanisha na barua yangu ya ajira nimeprove. Kwenye barua ya ajira wameonyesha increment zote.
Hii ilitokea pia sijui 2018 vile July kama sikosei.
Nyie mnameza tu kila anachosema mwanasiasa. Hakuna punguzo la kodi. Subiri tar 31 salary slip ndio itaongea.
Mara ya mwisho ulipata lini hiyo annual increment?
 
Hivi hiyo nafuu ya kodi ni kwa watumishi wa umma tu? Au ni kwa wafanyakazi wote hata wa mashirika na makampuni binafsi? Halafu mbona kama kuna tofauti kati ya wafanyakazi na watumishi?
 
Acha kupotosha wewe,serikali yenu tangia 2016 haijawahi kupandisha mshahara ndio ije kupandisha 2020? Hiyo ni Punguzo la PAYE na ni 51,000/= tu kwa wengi.
 
Sio increment ni punguzo la kodi, mshahara upo vile vile kodi ndio imepungua, usipotoshe jambo kama hujui kitu.
Ni wa kumpuuza tu! Si unaona hapo juu anasema kuna kodi watumishi wanakatwa nje ya ile PAYE 9%. Kwa fikra zake anadhani watumishi wote wanakatwa PAYE 9% tu. Hajui kua kuna watu wanakatwa zaidi ya 30% ya salary zao.
 
Hivi mtu akikuambia nakupunguzia kodi so lazima atakuambia ni asilimia ngapi anakupunguzia! Halafu waziri alisema kodi itaondolewa kwa wale wanaolipwa 270, 000 kushuka chini tu ambapo awali favor iliwagusa wale waliokuwa wanalipwa chini ya 170, 000 tu na wengi au karibu wote hapa si watumishi wa umma. Watumishi wa umma wanalipwa kuanzia laki tatu.

Kuna kodi ambayo hukatwa watumishi nje ya ile PAYE ya 9% , na hii haiwagusi watumishi wote wa umma. Ila hii inrement ya jana kila mtumishi wa umma imemfikia bila kujali ukuwa wa mshahara wake. Niko tayari kukosolewa lakini naendelea kusisitiza kuwa kilichofanyika kwa watumishi wa umma si punguzo la kodi bali ni ongezeko la mwaka ambalo halizidi 5% ya mshahara.

Kwa wanaotaka kuprove wachukue barua zao za kupandishwa vyeo wasome ile grafu ya increment yao wataoanisha na kilichoongezeka kwenye mshahara tuliolipwa jana au barua ya kuajiriwa wajionee
Acha kukehi wenzio
 
Mambo ya kazini na mwajiri wako humu mitandaoni ya nini??
Mtumishi hujaiva wewe.
 
Back
Top Bottom