Killeville
JF-Expert Member
- Jan 19, 2015
- 410
- 1,218
Sure,did the same.Nimetazama salary slip, basic ipo vilevile. Kuna punguzo kwenye upande wa kodi.
Mkuu hiyo imepunguzwa kwenye zile fixed amount kwa viwango vile vya intervals au imepunguzwa kwenye percentage? Naomba nijibu please kama una taarifa za kutosheleza!Acha kupotosha wewe,serikali yenu tangia 2016 haijawahi kupandisha mshahara ndio ije kupandisha 2020? Hiyo ni Punguzo la PAYE na ni 51,000/= tu kwa wengi.
Mkuu hiyo imepunguzwa kwenye zile fixed amount kwa viwango vile vya intervals au imepunguzwa kwenye percentage? Naomba nijibu please kama una taarifa za kutosheleza!